Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
igunga ni rami tupu maana ndio njia pia yanapita mabasi yanayoenda kanda ya ziwa , ukitoka igunga unaenda nzega then tabora mjini!!Hapana ni Rough road
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
igunga ni rami tupu maana ndio njia pia yanapita mabasi yanayoenda kanda ya ziwa , ukitoka igunga unaenda nzega then tabora mjini!!Hapana ni Rough road
Hapana utalii wa kuvuliwa nguo na majambazi wawamege ndugu zako mkeo wewe unaona...Tanzania sio samala sanaHalafu Jumamos kule Mnadani Unakula nyama choma mpaka useme Basi Jaman Kutembea Mikoani ni Utalii Tosha na kujua mengi
Haha Prof Kuku Ndege [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hahah...mkuu, ulimaanisha kuku ndege or kuku binadam..!!
Hawa majambazi wengi wao ni wa nchi jirani yaani wana raho mbaya sanaHili nalo ni neno mkuu wangu,
Nilikuwa napoteza muda ili taarifa zitiririke, lakini mmmmmh
Alafu sasa lami ni vipande vipandeMkuu kutoka Itigi mpaka Tabora ni kilomita mia mbili na kitu na hapo katikati hakuna kituo hata kama watatoa taarifa watafika saa ngapi
We ukitaka kwenda tabora kaka pita igunga usiende UckuHapana utalii wa kuvuliwa nguo na majambazi wawamege ndugu zako mkeo wewe unaona...Tanzania sio samala sana
HAPA KAZI TUKuna taarifa kuwa Basi laTabora One lifanyalo safari zake kati ya Dar na Tabora limetekwa Jana usiku na abiria wote kunyang'anywa mali zao na kuna taarifa kuwa huenda wanawake wamefanyiwa vitendo vya ubakaji.
Hujaelewa mkuu,ukifika igunga pale kuna njia inaingia kushoto kwenda tabora kabla ya kwenda nzega na barabara kuuigunga ni rami tupu maana ndio njia pia yanapita mabasi yanayoenda kanda ya ziwa , ukitoka igunga unaenda nzega then tabora mjini!!
Intelligence imelala usingizi wa pono, inafuatilia UKAWA NA CHADEMA. WANAFUATA MZUKA WA MFALME MKUU WA TANGANYIKAintelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
ni ya ziba, ila haitumiki!!Hujaelewa mkuu,ukifika igunga pale kuna njia inaingia kushoto kwenda tabora kabla ya kwenda nzega na barabara kuu
Ok poa mimi hiyo sijaitumia zaidi ya ile ya nzegani ya ziba, ila haitumiki!!
TZ ni shamba la bibi mmawiaHawa majambazi wengi wao ni wa nchi jirani yaani wana raho mbaya sana
Asante mkuu lakini kumbe hii ni polisi ya TanzaniaKama hiyo ni kweli mkuu basi tutangaze rasmi kwamba hatuna jeshi la polisi. Yani wanalipwa na kodi zetu..wananunuliwa vifaa...halafu badala ya kwenda kudhibiti haya majambazi badala yake wanafukuzana na vyama vya siasa? This is wrong. Inasikitisha sana nchi huru halafu eti tuwe na barabara ambazo ukipitia "unajitakia majanga"...tuzuiwe uhuru wa kusafiri usiku...tulazimishwe kulipia escort za polisi tukisafiri maeneo flani. Very unfortunate!
Ndiyo maana kila mtu anataka kuja kujivunia anavyotaka!TZ ni shamba la bibi mmawia
Yaani hapo kuna kilomita kama 80 hakuna lami na misitu mikubwaAlafu sasa lami ni vipande vipande
Ni Igunga au ZibaHujaelewa mkuu,ukifika igunga pale kuna njia inaingia kushoto kwenda tabora kabla ya kwenda nzega na barabara kuu
Hapo hata kwa viboko sijaenda,labda niwe nakwenda kuwahi mazishiYaani hapo kuna kilomita kama 80 hakuna lami na misitu mikubwa
[emoji2] [emoji2] ila njia nzuri ni ya IgungaHapo hata kwa viboko sijaenda,labda niwe nakwenda kuwahi mazishi