Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Mkuu nzega tabora sasa ni lami tu hivyo wangekuwa wanazunguka tuMbona NBS hatekwi?,I remember 2013,wakata Naenda Tabora yani hiyo Barabara ya Itigi ni Full Mapori yani tulipita salama mpaka Tabora Mjini but inatisha mana iwe mchana ucku pako vibaya bora ya Nzega ile lol