Inteligensia na polisi wako kwaajili ya Ukawa. Polen waathirikaintelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inteligensia na polisi wako kwaajili ya Ukawa. Polen waathirikaintelijensia vipi huko? au geshi ra porish halipo?
soma tena hujamuelewa kdg ,anasema anasumbuliwa na mkongwe wa njia hiyo!!Tabora ndiyo mkongwe si kweli hilo basi ni jipya kwa njia hiyo
Mkuu pamoja na kuwa ni tetesi lkn sidhani kama kutakuwa na ukweli maana hadi sasa tv station zote hakuna iliyo tangaza hiyo habariKuna taarifa kuwa Basi laTabora One lifanyalo safari zake kati ya Dar na Tabora limetekwa Jana usiku na abiria wote kunyang'anywa mali zao na kuna taarifa kuwa huenda wanawake wamefanyiwa vitendo vya ubakaji.
Mkuu nadhani hapo uhakika haupo tungeshasikiaJana usiku hadi Leo hakuna taarifa ya uhakika bado tetesi?
Kamanda jogi siku hizi vijijini watu wanazo za mchina,wangeshazifikisha kwenye vyombo vya habari hasa radio na tv stationMkuu smart phone walikomba zote, unadhani wataanzia wapi kupost.
Mkuu tatizo hiyo njia ni ya kipweke sana,afadhali wangekubali kupitia ile ya kupitia nzega maana ina magari mengi sana na haina mapori makubwaMbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
hao majambawazi sio tishio sana kama CHASOVipi intelijensia ya polisi alikuweza kuliona na kulizua hii jambo kama habari yenyewe ni sahihi?
Kama ni kweli basi huenda lilikuwa limeharibikia njiani ndiyo maanaMabasi yalikatazwa kusafiri usiku
Mkuu hiyo roho yako unaipeleka wapi?Iko bize kutafuta ni lini na wapi CHASO watakuwa na mahafali wakawapige pini.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh, hapo wanachomoka kama jet!Ukitaka askari wafike haraka eneo la tukio,wapigie kuwa UKAWA wanataka kuandamana.
ilo poli toka itigi mpka kigwa hakuna mtandao wowote unaopatikana na mnatembea kma masaa 3 au 4 hamuoni kitu zaidi ya miti tu but kwa sasa kuna vipande vina ramiKamanda jogi siku hizi vijijini watu wanazo za mchina,wangeshazifikisha kwenye vyombo vya habari hasa radio na tv station
Vipi kuhusu sherehe za chaso?hiyo ndo kazi iliyopaswa kufanywa na jeshi la polis...
Kaka nzega unazunguka sana but iyo njia ya itigi ndio shortcut na unawahi sana kufika taboraMbona NBS hatekwi?,I remember 2013,wakata Naenda Tabora yani hiyo Barabara ya Itigi ni Full Mapori yani tulipita salama mpaka Tabora Mjini but inatisha mana iwe mchana ucku pako vibaya bora ya Nzega ile lol
Mkuu hilo basi lipo kipindi na ndiyo linapendwa kweliTabora ndiyo mkongwe si kweli hilo basi ni jipya kwa njia hiyo
Nbs ndio mkongweTabora ndiyo mkongwe si kweli hilo basi ni jipya kwa njia hiyo
Kwa hiyo kaundiwa Zengwe la wazee wa kazi?Mbaya sana kama ujambazi huo umerejea.Duu Tabora One anapigwa vita sana njia hiyo ya tabora na mmiliki mkongwe wa njia hiyo,pia mmiliki wa tabora one alifariki miezi michache iliyopita basi ni balaa tupu.Waliobaki wasikate tamaa
Hao watekaji wanashukiwa kuwa ni kutoka hukoTunataka tuwe kama Rwanda tusafiri Massa YOTE.