Mabasi yalikatazwa kusafiri usiku
Dah..mkuu...mie nadhani polisi wangeacha kwanza kusumbuana na wakina tundu lissu...badala yake wakafanye operesheni nzito ya kuwanasa hawa majambazi. Itakuaje wananchi wanakosa uhuru wa kusafiri usiku kwenye nchi yao? Africa mashariki yote hii wenzetu wanasafiri...ni sisi tu hili wimbi la majambazi limetushinda mpaka tumezuia safari za usiku. Inasikitisha sana