Basi la Tahiliso kunikataa na makondakta na dereva bila hata ya ubidamu kuniamuru

Basi la Tahiliso kunikataa na makondakta na dereva bila hata ya ubidamu kuniamuru

Mawematatu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2021
Posts
468
Reaction score
608
Nimeniuma Sana....
Nikiwa katika pitapita jijin DSM nikawa bunju saa nne usiku nikawa katikakati ya vibaka bunju jjn DSM maeneo ya bunju B dereva pamoja na kondakta bas linaloonekana kuwa Tahiliso kuniamuru nishuke chini

Nikiwa nahitaji kufika ubungo ama hata mbezi stend ya magufuli Hawa jamaa bila hata chembe ya ubinadam kusimamisha basi la abiria ili niteremke...

Na utu uzima wangu nilitokwa na machozi....walinitamkia "tumeshafika mjini hatupakii abiria...nilimia Sana....kwamba ni hawa Hawa hutuitia sisi abiria tisafiri na mabasi yao......" Lkn anakuacha bila kudadisi confidence yang ya kupakia bas lao....

Nchi hii Ina watu wana roho mbaya sana
 
Last edited:
Usingeshuka ungewaambia wakakushushe polisi kwa usalama wako.
Watamzania ni watu wa amani Sana mkuu.

Nimelisema hili kwenu wote mnaosafiri na haya mabasi mjue Kuna watu makondakta na maderva wana rohonza ajab Sananilitegemea dereva angekuwa tofaut kwa sabb kwa kawaida maderva ni professionals dah nikashangaa anasimamisha na kuaMuru duh mungu wangu
 
Kwa yyt aliye kwenye basi Hilo muda huu najua hakijafika hata mbezi ama Yard. . Mnadereva Ana roho ya kibazazi, barbarian na katili
 
Nimeniuma Sana....
Nikiwa katika pitapita jijin DSM nikawa bunju saa nne usiku nikawa katikakati ya vibaka bunju jjn DSM maeneo ya bunju B dereva pamoja na kondakta bas linaloonekana kuwa Tahiliso kuniamuru nishuke chini

Nikiwa nahitaji kufika ubungo ama hata mbezi stend ya magufuli Hawa jamaa bila hata chembe ya ubinadam kusimamisha basi la abiria ili niteremke...

Na utu uzima wangu nilitokwa na machozi....walinitamkia "tumeshafika mjini hatupakii abiria...nilimia Sana....kwamba ni hawa Hawa hutuitia sisi abiria tisafiri na mabasi yao......" Lkn anakuacha bila kudadisi confidence yang ya kupakia bas lao....

Nchi hii Ina watu wana roho mbaya sana
Kilaba: nimejaribu kusoma ulichoandika, lakini sijafanikiwa kukuelewa.

Ili watu wakuelewe ungerudia ulichoandika na usahihishe ili ueleweke.
 
Back
Top Bottom