Basi la Tahiliso kunikataa na makondakta na dereva bila hata ya ubidamu kuniamuru

Basi la Tahiliso kunikataa na makondakta na dereva bila hata ya ubidamu kuniamuru

Abiria anapaswa kujua haki na wajibu wake.

Yani labda wanaoteaga watu wakuwafanyia hivyo vitimbi yaani sipati picha !

Yani wanaanzaje kushusha kwenye basi kwa mfano?

Je umehatarisha usalama wao na abiria wenzio au imekuwaje?

Funguka hapa tujadili.
 
Back
Top Bottom