From Sir With Love
JF-Expert Member
- Sep 13, 2010
- 2,076
- 3,813
Daudi Mchambuzi: muonee jamaa huruma. Ameshindwa kuwasilisha ujumbe wake ili watu wamuelewe.It seems konda kuna kitu kibaya zaidi amemfanyia bwana Kilaba hadi amejifungia ndani amelala na tumbo analia tu.
Nimemuonea huruma na ndiyomaana nimemshauri next time asikubali kushuka.Daudi Mchambuzi: muonee jamaa huruma. Ameshindwa kuwasilisha ujumbe wake ili watu wamuelewe.
simu za tecno zinatabia ya kujipost, labda itakuwa simu imejipost yenyeweHakuna nilichoelewa hapa sijui ni uzee huu au
Tuliza hasira mkuu. Bibilia inasema ukilaani nawe utalaaniwa.Ulaaniwe wewe bazazi vizazi vyako na panya, mbu na wote uishio nao kwa kuwa huna Akili na Mpumbavu mkubwa wewe
Futa machozi kwanza ili uone vizuri keypad ili ueleweke mkuu. Maana inaelekea umeandika huku kamasi la uchungu linachuruzika.