Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siasa zimewafanya mmekua kama mazezeta.Basi la Dodoma jiji limetumbukia kwenye mto unaotiririka.There is a spiritual message about ccm and samia in this injury.
Hawana majina?Watu kadhaa wamejeruhiwa, kati yao watatu ndio wana majeraha makubwa, wengine wote ni majeraha ya kawaida ikiwemo michuko na kukatwa na vioo.
Ni kweli mkuu.So sad.
Ila kutokana na picha hiyo ubovu miundombinu inaweza kuwa chanzo cha ajali.
Halafu anatokea andazi mmoja anasema timu zisidhaminiwe na mdhamini mmoja hv hawa Dodoma kama wangekuwa na mdhamini wa maana c wangependa nd
Ukanda huo si ndiyo ulimvukiza Mwendazake moshi akihutubiaBus la wachezaji wa Dodoma Jiji FC limepata ajali likiwa njiani kutoka Mkoani Lindi kuelekea Jijini Dodoma, ajali imetokea katika eneo la kati ya Nangurukuru na Somanga wakati linatokea Ruangwa, Lindi walipocheza jana dhidi ya Namungo FC, kuna wachezaji wamejeruhiwa.