Basi la Timu ya Dodoma Jiji lapata ajali kwa kutumbukia mtoni

Duuh hii ni ajabu sana jana tu wakati naangalia mechi yao na namungo niliwaza nikasema hivi hawa wachezaji wa hizi timu nyingine ukiacha simba na yanga, huwa wanapanda usafiri gani wakiwa wanaenda kucheza ugenini maana sidhani kama huwa wanakodi ndege na sijawahi kupishana na mabasi yao popote pale, akili ikaniambia pengine huwa wanapanda ndege kama abiria wa kawaida maana kusafiri na mabasi ni risk kumbe nilikuwa nawaza ambacho kinaenda kutokea leo..anyway nawatakia hao majeruhi wote uponyaji wa haraka!!
 
Madaraja ya Somanga, Masaninga, Nangurukuru yote yote yamezolewa na maji tangu mwaka jana na hayajajengwa. Yamejaza mawe tu kihuni...
 
So sad.
Ila kutokana na picha hiyo ubovu miundombinu inaweza kuwa chanzo cha ajali.
Ni kweli mkuu.
Hii sehemu ilipata athari ya mafuriko ya mwaka jana na bado hapajakaa vizuri.Kazi inaendelea niliona wiki iliyopita.
 
Halafu anatokea andazi mmoja anasema timu zisidhaminiwe na mdhamini mmoja hv hawa Dodoma kama wangekuwa na mdhamini wa maana c wangependa ndege
 
Kwani tunatumia Ndege ili tusipate ajali au kuokoa muda au uchovu?Hapa kilichotokea ni ajali suala la Ndege linahusika vipi?.Ajali inatokea tu tofauti ni ajali ya Ndege,ya Gari Boti n.k.
Halafu anatokea andazi mmoja anasema timu zisidhaminiwe na mdhamini mmoja hv hawa Dodoma kama wangekuwa na mdhamini wa maana c wangependa nd
 
Ukanda huo si ndiyo ulimvukiza Mwendazake moshi akihutubia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…