Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uku wazima uko pand gan mkuu
Matatu, ama upo high, una stress au haujui kua unatumia id yako moja kujijibisha.Nko dar ww uko wap kaka
Ubishoo wa kuvuta wida.Safi tu vp uko wazima???
Hiki ni kiwanda kidogo
Hahahaaa wewe kwa jinsi unavyomuona mtoa mada si kitakua kiwanda cha kuzalisha mashudu tuHahah we mkuda nimecheka kinyama.
Kinazalisha nini?
Ndo maana anataka kupaaMbona amekaaa kama ndege.
Vaa miwani mkuu utaona uumbaji wake molaKivipi yani...🤔
Kivipi tena? Ina maana hauoniAcha ujinga mkuu kuwa serious basi
Mwanza nyegeziiiiifundi bishoo una tatizo gani la kiafya??
Daaaah wabongo nomaaahKivipi tena? Ina maana hauoni
Daaaah middle fingerHahahaaa wewe kwa jinsi unavyomuona mtoa mada si kitakua kiwanda cha kuzalisha mashudu tu
Nlikua niko high High hapo nlipuliza mjani mkuu nisameheniUbishoo wa kuvuta wida.
Nna id moja tu mkuu hapo ni stress X weed =WEEDMatatu, ama upo high, una stress au haujui kua unatumia id yako moja kujijibisha.
Ishiiiiiii! Hawezi kupaa huyo siku amepaa na mbuni atapaa.Akae kama swala apae, sa ndege gani ana mkia mrefu hivyo,ataweza kweli kupaa
Nilifanikiwa kupata mbinu mkuu nitaleta mrejesho[emoji16][emoji16]
Ulipoanza kujijibu mwenyewe umenifanya nikumbuke ule uzi wako wa ugali, usirudi huko mkuu.