Natuma salamu zote kwako my babe SweetyCandy ππππTate Mkuu hunipendi kwanini hujanitumia salamu
mimi sio mstaarabu kabisa, kanisani sihudhurii, navaa mlege
Eti Mwakasege, Hahhaa kama kawa mshindani mshamba .Oya niaje Mwakasege Jr.
Kama kawa?
Ulipotea sana mwanetu.
π€£π€£π€£π€£π umenipa new nick name..Oya niaje Mwakasege Jr.
Aaargh huyu uliisha mfriend zone na ukamdogosha, ngumu sana achomoke kwenye hiyo Bin
Mwakasege Jr atakuongoza toba.. utarudi mstarini tu utake usitake ππmimi sio mstaarabu kabisa, kanisani sihudhurii, navaa mlege
nitakuchosha bure
Naona unampandisha taratibu kumjazia creditsπ€£π€£π€£π€£π umenipa new nick name..
Atatuweza kweli jonzing boys? hatuambiliki.Mwakasege Jr atakuongoza toba.. utarudi mstarini tu utake usitake ππ
Mkuu najifunza PolePoleHahahahaha unachapia hivo hivo mwishoe unapatia.
Ulifichwa wapi ?Kama nakuona Jr π€£π€£
π€£π€£π€£ Hela nimepokea janaaaaaSalamu zimefika mkuu, ila hela za mirathi umrpokea lini mbona hutuambii ndugu zakoππ
ππ si kila mtu ashinde mechi zake au?Naona unampandisha taratibu kumjazia credits
ππsikufichwa.. nilijifichaUlifichwa wapi ?
Asante sana na kwako pia Dr....
Ana mimba yangu.
Nani huyooAna mimba yangu.