Thanks, sikuona hii, leo nilikua busy kuandaa vipindiPoor Brain, Monetary doctor.
Mwandishi wa habari za kitaifa na kimataifa realMamy na Nifah.
Mzee wa kupenda usafi fimboyaukwaju na 100 others.
Waleko salam.Madame B samaleko samaleko oooooooooo
Zikufikie popote ulipo, Mungu akupe afya njema, mafanikio tele na amani ya moyo!
Ujumbe: Mwambieni ex Wangu, namkumbuka sana ila simtafutiii ng'o na hela za mirathi nimezipokea janaaa!
Kweli tenaShangazi Wacha maneno zako bhana??
Msisahau CHAPUTA na KATAA NDOA.Natuma samaleko zangu kwa RAIS WA MAJOBLESS PROMAX Intelligent businessman namwambia akikuze chamaaa
Ntamwambiaaaa dada mkubwa amesema turudiane π€£Waleko salam.
Mie najua kiporo hakipashwi na moto mwingi.
Hawara hana talaka.
Mpewa hapokonyeki na Ulikiona cha nini.
Mkirudiana mimi ndio furaha yangu mpwa jamani
Mimi hiyo ndio furaha yangu π« π« π«Ntamwambiaaaa dada mkubwa amesema turudiane π€£
Hiko Chama Cha CHAPUTA sera zake zijazielewaaa naskia kinamaliza nguvu za kiumeeeMsisahau CHAPUTA na KATAA NDOA.
Halafu katika hao wanachama, ni wachache sana wenye "D" mbili π π πHiko Chama Cha CHAPUTA sera zake zijazielewaaa naskia kinamaliza nguvu za kiumeee
KATAA ndoa nao mmmh π€£
tafuta wa huko, sitaki matatizo πKweli tena
We boya Ume lewa π€£πSamaleko zangu ziwafikie wanaoteswa na mapenzi na walioachika au kuachanaaaaa!
Ujumbe: some broken hearts never mend mamaaaaeeee
Haya bhana.tafuta wa huko, sitaki matatizo π
Mh. Rais Mimi ni mzimaaa kabisaa sijalewaWe boya Ume lewa π€£π
Shangazi nili mis calculate data fulani, wee Mwili ume toka jasho na Kuna feniπ.Haya bhana.
Lala sasa kesho unisimulie ulichoota