Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri!

Basi Yusufu akafa, mwenye miaka mia na kumi; wakampaka dawa, wakamtia katika sanduku, huko Misri!

unataka tujadili mambo ya umeme,elimu hutaki tujadili imani zetu. Hapo unaona haujatupangia
Hakuna sehemu nimetaka mjadili kuhusu umeme na maji.

Nilisema wachina wanajadili mambo ya teknolojia halafu ninyi bado mnajadili hizo hekaya za Alfu lela ulela.

Hakuna neno "kutaka" hapo.

Hukatazwi kuwa na imani yako.

Hukatazwi kujadili imani yako.

Ila ukiileta hiyo imani yako hapa kwenye public open forum, itajadiliwa kwa namna zote upendavyo na usivyo penda.
 
Hakuna sehemu nimetaka mjadili kuhusu umeme na maji.

Nilisema wachina wanajadili mambo ya teknolojia halafu ninyi bado mnajadili hizo hekaya za Alfu lela ulela.

Hakuna neno "kutaka" hapo.

Hukatazwi kuwa na imani yako.

Hukatazwi kujadili imani yako.

Ila ukiileta hiyo imani yako hapa kwenye public open forum, itajadiliwa kwa namna zote upendavyo na usivyo penda.
sawa mkuu
 
Je hii inatuambia ya kuwa ni muhimu mtu juzikwa kwenye chimbuko lake na SI sehemu yoyote? Yapi ni madhara ya mtu kuzikwa sehemu ambapo SI chimbuko lake?
Kwa miaka mia nne ya hii hekaya walikuwa Misri kwa hiyo vizazi vyote vilivyo kufa huko unadhani kulikuwa na misafara ya mazishi toka Misri kwenda huko wanako kuota kwao?.
 
Sio mtaalam sana wa BIBLIA ila nifafaunue kidogo, yusufu,alipofariki,akiwa na miaka mia na kumi,wakamuwekea dawa na kumtia ktk sanduku, hiyo dawa ni ya kuufanya mwili usioze,usinuke au usiharibike,manake hawa waisrael misri ilikuwa ni ardhi ya ugenini na kwa wakati huo na hata sasa hii bado ipo,mgeni akifa basi atahifadhiwa kisha kusafirishwa hadi ktk chimbuko lake huko ndiko huzikwa,hivyo mifupa ya akina ISSACK, JACOB,JOSEPH ilihifadhiwa na wakati wa ile safari ya wana wa israel kwenda kaanani miili au tuseme mifupa ya hawa watu ilibebwa ikazikiwe kaanani. sijajibu ki theolojia nimejibu kiuelewa tu ndugu zangu.
Umeelewa vyema.
 
Back
Top Bottom