Basi zuri la kwenda Kahama

Basi zuri la kwenda Kahama

Joel360

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2013
Posts
986
Reaction score
657
Nataka niende Kahama.

(1) Natamani kujua, kwa mabasi yanayofanya safari zake Dar - Kahama, ni basi gani zuri? (Yaani sio bovu) Maana kuna kampuni zinalalamikiwa mabasi yao mabovu hasa kwa njia zetu tulizozizoea za Dar - Ruvuma, sasa kwa Dar - Kahama kampuni gani ina mabasi mazuri (ntashkuru nikijua na nauli yake pia)?

(2) Ntashukuru pia kama kuna mtu atanijibu swali hili la pili: naweza kupata basi la usiku kutoka Dar - Kahama nifike kule asubuhi/mchana?

Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote atakaejitolea kunijibu.
 
Sa hivi kuna abood luxury ina choo ndan, inaenda musoma so panda hiyo uishie tinde upande gar za kaham
Asante sana ndugu yangu.

1) Huu mzunguko utanichukua muda gani, yaani nikitoka Dar saa 12 nitafika Tinde saa ngapi (kwa makadirio) na nitafika kahama saa ngapi ? (Umbali wa Tinde - Kahama).

2) Nauli ya Abood luxury ni ngapi ?
 
kisbo baba wa njia.
unafika hujachoka na kwa wakati. panda ile luxury, Utanishukuru.
KISBO inatoka Dar saa ngapi na inafika stand Kahama (kwa makadirio) saa ngapi ?

Nauli yake (kwa makadirio) ni ngapi ?
 
Nashkuru sana kwa mchango wako.

1) FRESTER ina-cost bei gani kutoka Dar kwenda Kahama ?

2) Kwa uzoefu wako huwa inafila stand Kahama saa ngapi ikitoka Dar saa 12
Frester ya bukoba huwa inafika kahama sanne usiku

Hapo ikiwa imeondoka dsm sa12 asubuhi
 
Mabus mengi yakwenda kahama ni mazuri mapya tafuta gar yoyote ya Dar- Bukoba uende nalo
 
Panda jioni 1800hrs basi SMH

Utafika Dodoma usiku mwingi

Asubuhi utapanda SACTO ya Kahama zinazoanzia Dodoma.

Mapema tu utaingia Kahama.
 
Nataka niende Kahama.

(1) Natamani kujua, kwa mabasi yanayofanya safari zake Dar - Kahama, ni basi gani zuri? (Yaani sio bovu) Maana kuna kampuni zinalalamikiwa mabasi yao mabovu hasa kwa njia zetu tulizozizoea za Dar - Ruvuma, sasa kwa Dar - Kahama kampuni gani ina mabasi mazuri (ntashkuru nikijua na nauli yake pia)?

(2) Ntashukuru pia kama kuna mtu atanijibu swali hili la pili: naweza kupata basi la usiku kutoka Dar - Kahama nifike kule asubuhi/mchana?

Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote atakaejitolea kunijibu.
Gari za usiku ili ufike asubuhi hazipo.

Panda KISBO au FRESTER respectively ni gari nzuri tu, nauli 50,000/=
 
Nataka niende Kahama.

(1) Natamani kujua, kwa mabasi yanayofanya safari zake Dar - Kahama, ni basi gani zuri? (Yaani sio bovu) Maana kuna kampuni zinalalamikiwa mabasi yao mabovu hasa kwa njia zetu tulizozizoea za Dar - Ruvuma, sasa kwa Dar - Kahama kampuni gani ina mabasi mazuri (ntashkuru nikijua na nauli yake pia)?

(2) Ntashukuru pia kama kuna mtu atanijibu swali hili la pili: naweza kupata basi la usiku kutoka Dar - Kahama nifike kule asubuhi/mchana?

Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote atakaejitolea kunijibu.
Nenda mbezi stand.
Upande wa gari ndogo za masafa utapata IT Safi kabisaa wewe tu utachagua.
Ukiona haitoshi unaweza chukua fuso au Kosta iliyonyooka kabisa.

Nauli
34-45

Ukitoka usiku saa 2 ahsubuhi upo kahama.
Jioni unageuza zako dsm
 
Nenda mbezi stand.
Upande wa gari ndogo za masafa utapata IT Safi kabisaa wewe tu utachagua.
Ukiona haitoshi unaweza chukua fuso au Kosta iliyonyooka kabisa.

Nauli
34-45

Ukitoka usiku saa 2 ahsubuhi upo kahama.
Jioni unageuza zako dsm
Asante sana boss!!!
 
Back
Top Bottom