itakiamo
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 893
- 1,739
Hello ndugu zangu , katka kurudisha fadhila kwa jamii nimepata wazo LA kupost basic mathematics series na advanced mathematics series kila siku ya jumamosi.
Wanafunzi katka vidato husika endapo watafanya mitihani hiyo ni vyema wanitumie mitihani yao PM kwa mfumo was PDF na nitawawasahihishia, kesho jumamosi nitapost mtihani kwa wiki ya kwanza
Huduma hii ni bure kabisa.
Pia mitihani ya Advanced mathematics nitaanza kuipost March mwaka huu,
Wanafunzi katka vidato husika endapo watafanya mitihani hiyo ni vyema wanitumie mitihani yao PM kwa mfumo was PDF na nitawawasahihishia, kesho jumamosi nitapost mtihani kwa wiki ya kwanza
Huduma hii ni bure kabisa.
Pia mitihani ya Advanced mathematics nitaanza kuipost March mwaka huu,