Basil Mramba in graft probe


Bubu na wewe umeanza uoga kama kina this day?!!,,tunaomba majina ya hao jamaa wawili,, yaani wa sweden na huyo wa US,,,usiwe muoga hapa tunamkoma nyani giladi hata kama ni babamkwe...tafadhari mkulu
 
Yaani mabalozi wa Tanzania huko hawajulikani!?
 

Indume,

JK is a joke. Part of me is convinced that the reason he is taking so long to find a Chenge replacement is due to the fact that he wants to find somebody who can do a good cover up, but somebody who is not so obvious.
 
ATAKULA MAJANI GEREZANI, KAMA ASIPOENDA GEREZANI, TUTAWEKA Dynamite PALE KWAKE HILI TUMALIZE KAZI.
 
DPP okays move to prosecute Mramba: File back in PCCB's hands

THISDAY REPORTER
Dar es Salaam

 
JK is a joke. Part of me is convinced that the reason he is taking so long to find a Chenge replacement is due to the fact that he wants to find somebody who can do a good cover up, but somebody who is not so obvious.

Maskini Makongoro Mahanga,ameahirisha hata safari yake ya kwenda kutibiwa fungus za miguu akisubiri uwaziri
 

Are you serious?
 
Hii move ya kumprobe Mramba ni calculated to cleanse the govt baada ya wafadhili kutishia kuwithdraw msaada. PCCB waliichunguza RICHMOND, matokeo ilikuwa nini?
 
Huyu huyu alidiriki kutuambia ata nyasi mtakula Jet ya raisi lazima itue DSM.
Alikuwa kimya kitambo kumbe alikuwa na maana yake.
 
hata majani tutakula, lakini lazima Rada inunuliwe! Halafu anataka kujibaraguza

Mramba amlipua Mkapa!

2008-08-13 15:47:06
Na Mwandishi Wetu, Dodoma

Katiaka kile ambacho pengine hakikutazamiwa kutokea, Waziri wa zamani katika Serikali ya Awamu ya Tatu ya Rais Benjamin Mkapa na ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Rombo, Mheshimiwa Basil Mramba, amemlipua kiaina Rais Mstaafu Mkapa kwa kuiponda Serikali yake kuhusu sera ya viwanda.

Mheshimiwa Mramba amesema Serikali hiyo ya awamu ya tatu ( iliyokuwa ikiongozwa na Rais Mkapa), kamwe haikuwahi kutekeleza sera ya viwanda.

Akizungumza bungeni jana wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko, Mheshimiwa Mramba akazidi kueleza kuwa kwa kasi iliyokuwepo katika serikali ya awamu ya tatu, nchi ingechukua muda mrefu sana kuwa na viwanda.

``...Nina tatizo. Najua watu watauliza, si (nawe) ulikuwepo. Lakini wacha niseme,`` ndivyo alivyoanza kueleza Mheshimiwa Mramba kabla ya kuchangia zaidi.

Aidha, Mheshimiwa Mramba aliwageukia wajumbe wa Halmashauri ya CCM ,NEC na kuwahoji kuhusu sera ya viwanda vidogovidogo.

``Simuoni Bw. Yusuf Makamba, Katibu Mkuu wetu wa CCM... lakini nawaona wajumbe wengi wa Halmashaurii Kuu ya Taifa. Nauliza, hivi CCM ina Sera ya viwanda vidogo vidogo?`` Akahoji Mheshimiwa Mramba ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara.

Akasema viwanda vilivyopo sasa ni matokeo ya sera za Serikali ya Awamu ya Kwanza iliyokuwa ikiongozwa na Rais wa wakati huo, Marehemu Mwalimu Nyerere.

Akasisitiza kuwa viwanda vingi vilivyopo leo ni vya Nyerere na kwamba sera yake ilikuwa ni viwanda vya awali, ambayo amesema kamwe haijatekelezwa katika serikali ya awamu ya tatu (ya Rais Mkapa).

Hata hivyo, Mheshimiwa Mramba akasema anafurahia kuona Waziri wa Viwanda, Biashara na Masoko ameipeleka bungeni, huku akishauri kuwa Serikali ya sasa ya awamu ya nne, ijielekeze katika jitihada za kuchochea uanzishaji wa viwanda.

Pia akaishauri serikali kusamehe kodi kwa viwanda vidogo vidogo kama inavyofanya kwa viwanda vikubwa ambavyo vimekuwa vikipata msamaha.

Aidha, ametaka kuanzishwa kwa benki maalum kwa ajili ya viwanda vidogo ama kuziagiza benki kutenga fungu maalum kwa ajili ya kuwakopesha wanaoanzisha viwanda hivyo.

SOURCE: Alasiri
 
Huku ni kutuzuga watanzania ili tumuone ni mtu safi, hivi kwa yote aliyoyafanya ambayo yamesababisha kwa kiasi kikubwa watanzania tukawa katika hali tuliyonayo, leo hii Mramba anadiriki hata kufungua kinywa chake na "kujiponda" yeye mwenyewe na wafuasi wake waliosababisha hali hii itokee? au anafikiria kwa kufanya hivyo ndipo ripoti ya EPA itampita pembeni na kutomtaja kama ni mshirika namba 2 or 3 wa sakata zima la EPA wakiongozwa na Mkapa na shangazi yao Zakhia Meghi?

kwa ufisadi waliofanya awamu ya tatu na ufisadi wanaouendeleza kwa kweli inatosha, wasubiri hadi tutakapofanikiwa kuwatoa hapo walipo, hatutaki kusikia ngonjera zao tena, tumechoka
 
Ni jambo gumu sana kumuamini Basil Mramba. Kama alivyosema yeye mwenyewe hiyo ilikuwa wizara yake, angesema alifanya nini kwanza alipoona hali hiyo akiwa serikalini kuliko kuongea ya Mkapa wakati ya EPA bado hajasema. He is trying to make a distraction.
 
Anayosema Mramba si mageni kwa wafuatiliaji wa kauli zake aliwambia wadanganyika kuwa hata majani wale lakini ndenge ya Rais lazima, pili aliataka kuiuza ATC kwenye kampuni ambayo yeye ni mmoja wa wamiliki alipomulikwa akakanusha alipotemwa kwenye uwaziri tukamuona akiwa Paris kwenye makabidhiano ya ndege ambayo kampuni yake ndiyo ilitaka kumiliki ikiwa na jina la jimbo lake " Rombo"achilia mbali akiwa waziri wa viwanda enzi za Nyerere alipigwa chini je inajulikana alichishwa kwa kwanini tufuatilie ujenzi wa viwanda vidogo vigodo Tanzania na ushiriki wa wake na kampuni moja ya ujenzi mkoani kilimanjaro, Lipi la kweli huyu ni fisadi tu Mr. $ 200,000/. Yetu macho wadanganyika tupo? Alamsiki
 
JAMANI MUNGU ADHIHAKIWI ATASIKU MOJA!!!!

Mramba ataka gazeti limlipe bil. 1/-

Na Mwandishi Wetu

 
mbona hakwenda mahakamani kwa kweli alidhalilishwa?
 
Nadhani hata ukimuuliza sasa atakwambia bado ni waongo na atawashitaki. Hizo ndizo sura za kinyonga za mafisadi. Ngoma inogire!
 
Alichemsha hajui wenzake wanadai baada ya kwenda mahakamani na kushinda kesi,,sasa ajaenda anataka pesa,matokeo yake anadaiwa zaidi ya zile ambazo amedai....kazi kweli kweli,bongo akili!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…