Naanza kuona safari ya US13pts game.
Leo hata mitupio ya Durant ipo hovyo kabisaWenzio wanamuangusha leo
Gap kubwa kwa dk zilizobaki aiseeSomehow I'm still optimistic
Yaah hii sidhani tena, japo lolote linaweza tokeaSioni namna USA ana come back...
Ngoja niendelee kufanya mishe nyingine tu, USA wajiandae kwa mechi ya bronze...
Gap ishapunguzwa sanaSioni namna USA ana come back...
Ngoja niendelee kufanya mishe nyingine tu, USA wajiandae kwa mechi ya bronze...
Wamepambana sanaTold ya
Ndio nilikua najua itakua hivyoHii ilitakiwa iwe final