Bata mzinga bata bukini

Bata mzinga bata bukini

culboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2011
Posts
526
Reaction score
47
Bata mzinga kwa wajasiriamali nawashauri kufuga bata mzinga na bata bukini kwa wingi kwani wanamnufaisha sana mjasiriamali ikiwa ni nyama mayai ulinzi wa nyumbani na pia nipambo zuri sana
 
Bata mzinga kwa wajasiriamali nawashauri kufuga bata mzinga na bata bukini kwa wingi kwani wanamnufaisha sana mjasiriamali ikiwa ni nyama mayai ulinzi wa nyumbani na pia nipambo zuri sana

Masoko yako vere challenging, kuna watu wamehodhi biashara wanajipangia tu bei na ukikomaa unarudi nao home. Kwa ulinzi hebu fafanua maana germa shepherd wamechemsha huku kwangu Kitopeni kila siku nyavu zinachanwa.
 
Mwizi akija kwako huhisi adui mapema ama mtu eyote mbaya awe mwizi mchawi hutoa ishara kwa kupiga sana kelele na pia ana uwezo wa kumfukuza
 
Mwizi akija kwako huhisi adui mapema ama mtu eyote mbaya awe mwizi mchawi hutoa ishara kwa kupiga sana kelele na pia ana uwezo wa kumfukuza

Mh hii nime ipenda ila sijui akija jambazi itakuweje!
 
Bata mzinga kwa wajasiriamali nawashauri kufuga bata mzinga na bata bukini kwa wingi kwani wanamnufaisha sana mjasiriamali ikiwa ni nyama mayai ulinzi wa nyumbani na pia nipambo zuri sana

Hizi mada za kitoto tumeshazikemea lakini bado zinakuja tu. Hivi JF imeingiliwa na mapepo gani? Au tumelogwa? Sasa wewe kwa akili yako unaona hii ni mada kweli? Narudia tena, msitupotezee muda bure kwani tuna mambo mengi ya kufanya. Kama huna cha kuandika, tulia kimya. Nyamaza kabisa. Au jifute uanachama humu ndani. Ebo!

 
Back
Top Bottom