Batch ya 4 udom wizi na ufisadi wana jf kilio hiki kiende wapi?

Kiny

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2012
Posts
289
Reaction score
57
Katika hali isiyo ya kawaida katika ufisadi unaoendelea kuwaka moto Tanzania hali imekuwa mbaya zaidi huko udom kwani wameondoa watu kibao medicine,nursing, midwifery na petrolleum engineering huku nafasi hizo zikionekana kujazwa na watoto wa wakubwa na principles wa colleges na wale wa inservice wenye fedha zao huku wale walioamishwa wakiwekwa ktk kozi za non priority. Na wengine wakiachwa bila kujua hatima yao.
 

Hmmm!Acha umbea wewe!
 
Fuatilia hayo majina uyarushe humu jamii forums kwanza halafu copy uwapelekee PCCB,HRLC na CHADEMA(Waziri Kivuli wa Elimu)
 
Hii ni kweli kabisa maana kuna jamaa mikopa o yao iko notes board wa medicine na nursing lakini wameambiwa nafasi zmejaa na tcu ndio iliyowachagua,inasikitisha ana.
 
Hmmm!Acha umbea wewe!

kawaida ukweli unauma lakini swala la kuniita mmbea haliniumi lakini kama umefurahia kitendo hiki utaona matokeo yake maana kuna mtu ana point 4 (EEF) Kapelekwa midwifery na mtu mwenye point 10 (CCC) kanyogelewa bsc education lakini siku huyo midwife atakaposhindwa kumsaidia mkeo ndipo utajua umbea wangu Mungu akubariki sana. Lakini jua majuto ni mjukuu.
 

mkuu haya ni matokeo ya mtihani upi?? mbona sielewielewi
 
Ha ha ha... Hata me cjayaelewa haya matokea! Ni ya tz au?

Hebu ngoja tuone, GPA ya kuingia chuo kikuu ni kama ufuatavyo:-A = 5, B = 4, C = 3, D = 2, E = 1, F = 0, S = 0.5,
kwa hiyo EEF = 1+1+0 = 2, na CCC = 3+3+3 = 9. Kwa hiyo cjui amekokotoaje hiyo GPA.
 
Marekebisho: huyo wa 9 yaani C flat unaongeza Gs ni 9.5 na huyo mwingine alikuwa na DDF na sio EEF mpaka leo bado mambo magumu watoto wa wakulima wameng'ang'ania hapa college of health lakini wanambiwa waende huko kwenye vicoz walivyopangiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…