Bati gauge 28 vipi?

Bati gauge 28 vipi?

Equitable

JF-Expert Member
Joined
Dec 24, 2021
Posts
2,017
Reaction score
5,462
Nimezunguka kote Tanzania. Kila nikipita hospital na shuleni nakuta mabati mengi yana kutu.

Ninavyojua majengo ya serikali hutumia gauge 28.

Inakuwaje yapate kutu wakati gauge 30 za mwaka uleule zinadunda?
 
Nimezunguka kote Tanzania. Kila nikipita hospital na shuleni nakuta mabati mengi yana kutu.

Ninavyojua majengo ya serikali hutumia gauge 28.

Inakuwaje yapate kutu wakati gauge 30 za mwaka uleule zinadunda?
Kuna kinaitwa 10%. Sijui kama unakijua.
 
Back
Top Bottom