Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 1,013
- 1,183
Habari Tanzania!
Je, una habari kuhusu bati zenye uwezo wa kuzalisha nishati ya umeme?
Teknolojia imekuwa sasa na mambo sio kama zamani.
Kwa wale wenye uwezo please fanyeni hiyo kitu jamani kwa kuwekeza hapa nchini au kuagiza kutoka ng'ambo.
Karibu!
Je, una habari kuhusu bati zenye uwezo wa kuzalisha nishati ya umeme?
Teknolojia imekuwa sasa na mambo sio kama zamani.
Kwa wale wenye uwezo please fanyeni hiyo kitu jamani kwa kuwekeza hapa nchini au kuagiza kutoka ng'ambo.
Karibu!