Batilda is a failure Doctor from the start.
Mkulima said:Ukiwa unaongoza kwa mbali usiende kwenye mdahalo, huo ndio ushauri wa watu wa PR. Angalia 1995 jinsi mdahalo ulivyo mharibia Mrema na kumpandisha Mkapa.
UK mwaka 2010 mdahalo ulimharibia Cameron mpaka ikamsababaishia kushindwa kupata ushindi wa moja kwa moja mpaka kuingia kwenye coalition. Mwaka 1992 mdahalo ulimponza rais Bush pale aliposhambuliwa sana na Perot
Kama ni underdog, mdahalo ni mzuri maana huna cha kupoteza na unaweza kurusha konde likamtoa mtu knockout.
Nafikiri JK na baadhi ya wabunge wenye uhakika na nafasi zao wanalijua hilo. Hawataki kwenda kwenye matembezi yasiyo na umuhimu na wakateleza kwenye mvua na kuadhirika barabarani.
Jana nilikuwa naangalia kipindi kimoja katika kituo cha Televisheni cha TBC1 kiitwacho MCHAKATO MAJIMBONI, na jana walikuwa jimbo la Arusha mjini, niliwaona wagombea wote wa ubunge jimbo lile, alikuwepo Lema ( Chadema) Lyimo (TLP) , Salim (CUF) na yule bwana mdogo wa Chama cha Demokrasia Makini (CDM?), lakini ajabu sikumuona Mh Batilda Buriani Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM. Nilijiuliza na napenda pia wana JF mnisaidie hili, je Buriani kutotokea pale hakuwa na taarifa, aliogopa kuulizwa maswali, alidharau au hakuwa na jipya la kuwaambia wana Arusha?
Ukiwa unaongoza kwa mbali usiende kwenye mdahalo, huo ndio ushauri wa watu wa PR. Angalia 1995 jinsi mdahalo ulivyo mharibia Mrema na kumpandisha Mkapa.
UK mwaka 2010 mdahalo ulimharibia Cameron mpaka ikamsababaishia kushindwa kupata ushindi wa moja kwa moja mpaka kuingia kwenye coalition. Mwaka 1992 mdahalo ulimponza rais Bush pale aliposhambuliwa sana na Perot
Kama ni underdog, mdahalo ni mzuri maana huna cha kupoteza na unaweza kurusha konde likamtoa mtu knockout.
Nafikiri JK na baadhi ya wabunge wenye uhakika na nafasi zao wanalijua hilo. Hawataki kwenda kwenye matembezi yasiyo na umuhimu na wakateleza kwenye mvua na kuadhirika barabarani.
Soma The Citizen page 4 ya leo. Batilda na CCM (Arusha) wanasema mdahalo sio sehemu ya mkakati wao kuwafikia wapiga kura! Like father like daughter!!
Batilda aliingia mitini (period). Tunataka mdahalo wa wagombea uraisi (najua JK pia ataingia mitini kama kawaida).
lakini nilifurahishwa zaidi na yule jamaa wa TLP Bwana Max Lyimo alionyesha uwezo mkubwa.
huyo lema alikuwa ni kujisifu tu sikuona lolote,
kulikuwa na vibaraka wa kuharibu hali ya hewa pale lakini mwongozaji Shabani Kissu alijitahidi kusawazisha mambo
Ukiwa unaongoza kwa mbali usiende kwenye mdahalo, huo ndio ushauri wa watu wa PR. Angalia 1995 jinsi mdahalo ulivyo mharibia Mrema na kumpandisha Mkapa.
UK mwaka 2010 mdahalo ulimharibia Cameron mpaka ikamsababaishia kushindwa kupata ushindi wa moja kwa moja mpaka kuingia kwenye coalition. Mwaka 1992 mdahalo ulimponza rais Bush pale aliposhambuliwa sana na Perot
Kama ni underdog, mdahalo ni mzuri maana huna cha kupoteza na unaweza kurusha konde likamtoa mtu knockout.
Nafikiri JK na baadhi ya wabunge wenye uhakika na nafasi zao wanalijua hilo. Hawataki kwenda kwenye matembezi yasiyo na umuhimu na wakateleza kwenye mvua na kuadhirika barabarani.
Jk anaweza aanguke tena
Ukiwa unaongoza kwa mbali usiende kwenye mdahalo, huo ndio ushauri wa watu wa PR. Angalia 1995 jinsi mdahalo ulivyo mharibia Mrema na kumpandisha Mkapa.
UK mwaka 2010 mdahalo ulimharibia Cameron mpaka ikamsababaishia kushindwa kupata ushindi wa moja kwa moja mpaka kuingia kwenye coalition. Mwaka 1992 mdahalo ulimponza rais Bush pale aliposhambuliwa sana na Perot
Kama ni underdog, mdahalo ni mzuri maana huna cha kupoteza na unaweza kurusha konde likamtoa mtu knockout.
Nafikiri JK na baadhi ya wabunge wenye uhakika na nafasi zao wanalijua hilo. Hawataki kwenda kwenye matembezi yasiyo na umuhimu na wakateleza kwenye mvua na kuadhirika barabarani.