Elections 2010 Batilda buriani hakuwa na jipya?

Elections 2010 Batilda buriani hakuwa na jipya?


I beg to differ. It's not always entirely so. Jimmy Carter -- front runner in 1976 US Elections was not affected by mdahalo at all, in fact it destroyed Gerald Ford. This was also true with J.F. Kennedy in 1960 elections, the debate was catastrophic to Richard Nixon.


so...either way is okay...mdahalao or no mdahalo...it goes down to the strategy of the participants...

u think its gonna help you, go for it or else forget about it.

au siyo mkuu.....
 
Amesema alikuwa mluteri akangoja wee kupata mume hakuna aliyejitokeza akaja usatadh akamwoa huyo akahamia uislam.....sikujua hili kuwa akina mama hungojea kanisani waolewe

Worse ni kwamba alisomeshwa na KKKT then akasepa .
 
Batilda Buriani ni Waziri na Lema ni mtu wa kawaida,kwahiyo waziri asingevumilia mashambulizi ya mtu wa kawaida Lema.....

Hivi hawa watu bado ni MAWAZIRI tu?? Yaani KATIBA yetu inatia kichefuchefu. Muda huu wizara zingekuwa chini ya makatibu wakuu. Sasa UWAZIRI wao unakoma lini? Siku Rais mpya atakapoamua ''kutangaza'' baraja lingine la mawaziri?

Tumpigie kura Dr. Slaa ambaye tayari ameonyesha nia ya dhati kabisa kuanzisha mchakato wa kupata KATIBA MPYA (sio kukarabati hii mbovu) ndani ya siku 100
 
Back
Top Bottom