I beg to differ. It's not always entirely so. Jimmy Carter -- front runner in 1976 US Elections was not affected by mdahalo at all, in fact it destroyed Gerald Ford. This was also true with J.F. Kennedy in 1960 elections, the debate was catastrophic to Richard Nixon.
Amesema alikuwa mluteri akangoja wee kupata mume hakuna aliyejitokeza akaja usatadh akamwoa huyo akahamia uislam.....sikujua hili kuwa akina mama hungojea kanisani waolewe
Ulimsimamia Phd yake nini?
Batilda Buriani ni Waziri na Lema ni mtu wa kawaida,kwahiyo waziri asingevumilia mashambulizi ya mtu wa kawaida Lema.....