Elections 2010 Batilda kafanywa kitu mbaya!!

FarLeftist

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
363
Reaction score
20
CHADEMA imemfanya kitu mbaya Batilda, Pole mama...........
 
zao la kampeni za chuki na kugawanya watu za udini na ukabila mara ohoo wachagga wana ubaguzi! mara ohoo maaskofu mara ohoo kimepanda mara kikashuka badala ya kuuza sera! hebu tujiulize hilo jimbo Makongoro hakuwahi kuliongoza kama kuna uchagga factor? au kukosa sera? Pole sana mama!
 
Natamani anizalie mtoto nimwite BAMBUCHA
 
Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!
 
HA HA HA HA matilda si alisema wanaume wa arusha sijui nini........
 
Wela wela wela kalee mama Buriani!!!
 
Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!

Leo sidhani ataonekana ama ataingia kwa machale kama Maralia sugu
 
Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!
Wmekosa ujasiri au wamejipanga kutafuta visingizio? Maana mambo yanavykwenda...
 
Si alisema hajapata mwanaume wa kumchumbia Arusha! Sasa anaweza kuthibitisha usemi wake....Yupo mwanaume au la? Atujibu!
 
Wapi MS
Naona Habari leo wamekuwa na kichwa cha habari cha kistaarabu
 
Tatizo la huyu mama Batilda ni kuwa aliotesha kibanda bungeni kwa miaka kumi na alitumia muda wake mwingi kujijenga kwa ngazi za juu kwa maana ya kupata vyeo serikalini.

Hilo alifanikiwa lakini akasahau kuwa hata hao aliokuwa akiwatumikia na kuwasujudia wapo ndani ya ajira ya mpigakura............

Alijaribu kubadilisha hoja za uchaguzi kwa kuingiza udini, ukabila na kuwasaga wanaumme wa hapa Arusha lakini wapigakura wa hapa Arusha tulikuwa na swali moja tu.......................HIVI MIAKA KUMI BUNGENI UMEFANYA NINI?




JIBU LILIKUWA NI KIGUGUMIZI....................................nasi tulipata kigugumizi kumrudisha bungeni mtu asiye na tija hata chembe zaidi ya kulinda ugali wake tu.......................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…