Elections 2010 Batilda kafanywa kitu mbaya!!

Elections 2010 Batilda kafanywa kitu mbaya!!

Hii ni zaidi ya kitu mbaya jamani.....haya yote kajitakia mwenyewe kiherehere chake. Mungu kasikia sauti za watu. Hii ni zawadi tosha kabisa kwa Batilda na Marmo ambao ni wapambe wote wa CCM waliokuwa msitari mbele kupandikiza chuki dhidi ya CHADEMA wakati wa sakata la Buzwagi kulikopelekea Zitto kusimamishwa kuhudhuria vikao kadhaa vya Bunge. Heri yake Mdhihiri aliyepigwa chini mapema. Mungu kaanza kutoa adhabu hapa hapa duniani. Imefahamika, wamesha dondokea pua
 
Si alisema hajapata mwanaume wa kumchumbia Arusha! Sasa anaweza kuthibitisha usemi wake....Yupo mwanaume au la? Atujibu!


si ndio maana akamtafuta lowassa haraka haraka akambebea mimba akidhani ingemsaidia...tena kabeba mimba ya lowassa hali ana mume zanzibar...mumewe kamsusa!!
 
Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!

PK,

Twapata kauli za utata ati ni nani kati ya LEMA na BATILDA hataki ku sign

Je EL kaja hapo Arusha Mjini kucheck hali ilivyoo?? Tupeni Info jamani

 
kuna mtu kama 5/7 ivi nisingependa kuwaona bungeni,sijui kwanini!!
1.Lau
2.mbega
3.mramba
4.batilda
5.chenge (km sijakosea)
 
wana-arusha komaeni!!
msiruhusu kuchakachuliwa jameni
 
Namsubiri MWANA JF NGONGO aje kusema saundi zake!
Naona leo yuko kimya sana!
Lakini kwavile napajua grosari kwake namfuata sasa hivi!


Heshima kwako PakaJimmy,

Mkuu Lema ameshinda lakini hakuondoi madhaifu yake.Nilishayazungumzia siku nyingi hakuna haja ya kuyarudia rudia.Mkuu mpinzani ameshinda hii ni faida ambayo watanzania wengi wenye akili wameisubiri muda mrefu mwaka huu Mungu ameshusha mkono wake watakuwa wengi pale mjengoni nilipenda viende vichwa vingi vyenye akili bahati mbaya Arusha tumempeleka Lema ambaye nina hakika hata wewe nikikupa assigment ya kutuletea cheti cha form four tu itakuwa ni ngoma haswa.

Mkuu nadhani umeshindwa kunielewa vyema jaribu kupitia mabandiko yangu moja moja labda utanielewa.
 
Heshima kwako PakaJimmy,

Mkuu Lema ameshinda lakini hakuondoi madhaifu yake.Nilishayazungumzia siku nyingi hakuna haja ya kuyarudia rudia.Mkuu mpinzani ameshinda hii ni faida ambayo watanzania wengi wenye akili wameisubiri muda mrefu mwaka huu Mungu ameshusha mkono wake watakuwa wengi pale mjengoni nilipenda viende vichwa vingi vyenye akili bahati mbaya Arusha tumempeleka Lema ambaye nina hakika hata wewe nikikupa assigment ya kutuletea cheti cha form four tu itakuwa ni ngoma haswa.

Mkuu nadhani umeshindwa kunielewa vyema jaribu kupitia mabandiko yangu moja moja labda utanielewa.

Maji Marefu huko Tanga ana elimu gani? Zaidi ya Darasa la 7, Hamjiulizi hilo jamani??

 
Back
Top Bottom