Elections 2010 Batlida amejifungua?

Elections 2010 Batlida amejifungua?

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Wana JF wa Arusha

Fuatilieni eti Batilda amejifungua Mount Meru Hospital?:caked:
 
kuna mdau humu jukwaani alisema mimba iyake imeharibika kutokana na mshtuko alioupata.
 
Sasa wakubwa tuwe wastaarabu kidogo, ni kweli tuna wasiwasi na PhD yake ktk uwezo wake wa kupambanua hoja, kujenga hoja na kutenda vilevile, lakini hili la kujifungua ni la kweli au blaa blaaaaaa tu!
 
Sasa wakubwa tuwe wastaarabu kidogo, ni kweli tuna wasiwasi na PhD yake ktk uwezo wake wa kupambanua hoja, kujenga hoja na kutenda vilevile, lakini hili la kujifungua ni la kweli au blaa blaaaaaa tu!
Kuna habari wanasema hiyo mimba ya Lower hasa na wengine eti ya Rais Kiwete , sijui ipi ni ukweli
 
Back
Top Bottom