Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kila mwenye macho bila shaka anajiuliza kama mimi .
Hivi unaacha mchezaji mzuri akatumikie mkopo halafu unachukua galasa kama lile la kazi gani ? wazungu hulogana pia ?
Kama siyo njama basi tutafute sababu , katika hali ya kawaida haiwezekani .
Hivi unaacha mchezaji mzuri akatumikie mkopo halafu unachukua galasa kama lile la kazi gani ? wazungu hulogana pia ?
Kama siyo njama basi tutafute sababu , katika hali ya kawaida haiwezekani .