Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Unataka kuniambia wewe una akili ya mpira kuliko Conte?Kila mwenye macho bila shaka anajiuliza kama mimi .
Hivi unaacha mchezaji mzuri akatumikie mkopo halafu unachukua galasa kama lile la kazi gani ? wazungu hulogana pia ?
Kama siyo njama basi tutafute sababu , katika hali ya kawaida haiwezekani .
Hapana mkuu , ndio maana nimeuliza kama kalogwa au la .Unataka kuniambia wewe una akili ya mpira kuliko Conte?
Simply is racism
Kila mwenye macho bila shaka anajiuliza kama mimi .
Hivi unaacha mchezaji mzuri akatumikie mkopo halafu unachukua galasa kama lile la kazi gani ? wazungu hulogana pia ?
Kama siyo njama basi tutafute sababu , katika hali ya kawaida haiwezekani .
Kacheza mechi ngapi? Acha hizoUingereza kuna mpira mgumu mno. Angalia toka amekuja Aubameyang ameisha funga gori moja tu aya fikiria kama bado angekuwa kule angekuwa na gori mpaka sasa
Nimejikuta nacheka tu.Uingereza kuna mpira mgumu mno. Angalia toka amekuja Aubameyang ameisha funga gori moja tu aya fikiria kama bado angekuwa kule angekuwa na gori mpaka sasa
Mpira ni magoli mjomba .Tuna wasiwasi kua weye ndie ulierogwa. Hivi batshuayi alimuona ni mchezaji mzuri?
Nimejikuta nacheka tu.
Vipi costa kwa morata?
Kacheza mechi ngapi? Acha hizo
Wewe na Wenger nani ana akili?Unataka kuniambia wewe una akili ya mpira kuliko Conte?
Mpira ni magoli mjomba .