Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hisia wapi mkuu kula ngoma hiyonipende kuwaambia mziki ni jambo la hisia usije hapa jf ukataka kila mtu amuelewe huyo batani wako...... japo naipenda ile nyimbo yake ya ta ta ta inafaa kutombea
Huyo mchizi anajua. Nashangaa mondi mpaka leo hamtafuti kutembelea nyota. Umemsikia q-chief kwenye papa God anavyodis watembelea nyotaamna kitu humo au ww ni don jazzy unampgia promo mmsanii wako 🤣😆
Au usharudi mbweni mkuuMasaki ndo wapi tena we kaa hapo hapo
Yammi huyuhuyu mtoto wq mbagala? Kiuno cheni. Anatembelea upepo wa Ray C.Mbona kama yammi
Kivipi mkuu huyo dogo ni swala la muda tu. Ila jf watu wengi ni 60s ndo mana wanapenda sana ngoma za papaa mobimbA.. papaa plusAcha linganishi mlima na kichuguu
Lugha mama mkuu imeniathiri.. nimezLiwa na kuishi Alabama kwa miaka zaid ya 14Kwanini unamuita Bayanni Battan?
mbona unazidi kunichanganya we mgosiAu usharudi mbweni mkuu
Surely not my menu ! I see maruweruwe.
mshamba huyo usimchekeNi Batanni? Au Bayanni? Am konfyuzdi
anajua sana huyo mtoto wa jazzy
Suala la kutafuta pesa liko palepale mkuu, ila zikipatikana tatizo linabakia kwenye vipaumbele. Kama hela unayopangia kufanya vitu vya maana tu inaishia bar.anajua sana huyo mtoto wa jazzy
tutafute hela kaka twende kwenye mashow yao
Ushamba huu mkuu.. mshamba_mwingine amesema msinichekeMkuu hata jina la msanii nalo linakuchenga🤣
umeandika pumba kbsa ww na chillah wote bangi tu marijuanHuyo mchizi anajua. Nashangaa mondi mpaka leo hamtafuti kutembelea nyota. Umemsikia q-chief kwenye papa God anavyodis watembelea nyota
Kwa wanaopenda mziki mzuriChris brown, Jason derulo na fally ipupa