Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hhahahahahah!! Tulia bana, subiri ujielewe, mbona unambio hivi??

Tumekwambia uwache kukurupuka, we ni mgeni hapa na tunaona hujielewi!!! Tulia usome nyuzi tangu mwanzo hadi mwisho. ukielewa kitu unafany rudi hapa!!
huna lolote unatuletea link za 2000 now tuko 2017 nairobi kwa dar inaingia mara 2 na nusu utake usitake ukweli ndio huo kama hutaki google iwe mwalimu wako
 
huna lolote unatuletea link za 2000 now tuko 2017 nairobi kwa dar inaingia mara 2 na nusu utake usitake ukweli ndio huo kama hutaki google iwe mwalimu wako

Bado ulimbukeni unakuzuzua, utapata dawa tu na itakuingia taratibu, kisha utulie, uliza wenzako walio kuja na hizo mbio za kupost vipicha vya hizo nyumba kumi na mbili na BRT, Kisha wakimaliza wanapata tunaendelea tu kupost. Hatuwezi rudia Nairobi vs Dar, Wala Mlmbasa vs Dar, tulimaliza, ukitaka ushindani, leta Dar Vs Kisumu, hapo tutarudi.

Sababu wataka kujionea, soma huu huu uzi, hizo picha zote umepost ziko humu humu kwenye huu uzi!!

Sasa utakuwa ukifanya nini ukianza kupost picha ziko hapa na zinajirudia mara kama kumi kila moja??????

Acha ulimbukeni
 
Limbukeni wote ni wana Dar is slum,al maharufu walatope.Hohoho!
 
wewe si ulisema unahamia nairaland....kulikoni Leo umerudi hapa?.
 
wewe si ulisema unahamia nairaland....kulikoni Leo umerudi hapa?.

Eeeish, na wewe hivi leo umetokea wapi?? Umepotea humu, kulikoni???

Kisha mwambie huyu nduguyo hizo picha anapost wewe ulishapost hapa kabla aje!

Mbona unaona akirudie mambo uliyoyafanya na husemi kitu?? Ama unataka yeye pia amalize internet yake mwanzo kabla asome mambo ya JF??

Otherwise karibu tena na usipotee hivi, mambo mazuri na mijadala imekupita. hivi sahi tunaomba kuajiri madaktari toka kule kwenu, iwe wewe mmoja wao, karibu Kenya
 
Wewe si ulikimbia hii battle. Kila siku unaonesha barabara. Dar inamambo mengi sana zaidi ya Nairobi. Nilikuuliza uniambie ni kitu gani kipo Nairobi Dar hakipo.
Dar kuna vitu vingi sana Nairobi hakuna
mf:
1. Dar - Beaches
2. Dar - Nyerere Bridge
3. Dar - Islands
4. Dar - BRT
5. Dar - Marine Receive
6. Dar - Boats
7. Dar - Port
8. Dar - Glass Buildings

Hivyo nimekupa vichache tu. Haviko huko Nairobi. Hebu leta vya Nai ambavyo havipo bongo.
 
Na ukitaka mm na we tuendelee mjadala weka dar vs Nai mombasa and kisumu alaf nikufundishe somo uelewe vzr
 
W
Hhahahahahah!! Tulia bana, subiri ujielewe, mbona unambio hivi??

Tumekwambia uwache kukurupuka, we ni mgeni hapa na tunaona hujielewi!!! Tulia usome nyuzi tangu mwanzo hadi mwisho. ukielewa kitu unafany rudi hapa!!
Wapi utaona hvo vitu na ujanja wako wrote wapi utaona we kimbia tanzania ndio maana mumejaa huku hamutaki kurudi kwenu ahahhaaha
 
Alaf admin wa hii group siku nyingine panga vzr ratiba zako badilisha acc na iwe dar vs Nai mombasa and kisumu alaf uone nani atatoboa hapa
 
Wat
Watoe wapi wakat hawana kelele tu zimewajaa eti wanatuletea link za 2000 wakat tuko 2017
 
Limbukeni wote ni wana Dar is slum,al maharufu walatope.Hohoho!
Ndio maana mademu zenu wanapenda wabongo coz wanajua kuvaa wanazo swaga sio nyie mchana jua Kali uvae suti ili uonekane mzungu akili au uharo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…