Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wat

Watoe wapi wakat hawana kelele tu zimewajaa eti wanatuletea link za 2000 wakat tuko 2017

We ni mgeni, acha ushamba wako hapa, huu uzi uko kwenye kurasa wa 106, enda soma tangu kurasa wa 1, usitochoshe hapa na ulimbukeni wako
 
We ni mgeni, acha ushamba wako hapa, huu uzi uko kwenye kurasa wa 106, enda soma tangu kurasa wa 1, usitochoshe hapa na ulimbukeni wako
Nimesoma sana kwanzia mwanzo nikaona mushazidiwa sasa nilikuja kumaliza kazi na kufunga ukurusa na nondo nishawateremshia hahahhahhaa
 
Hahahaha!!! Bongo raha sana ndiyo maana amekomaa hapa hapa.
hahaha hii issue ya madaktari toka bongo kwenda kuwatibu wakenya wengi ambao ni masikini(kundi la kina depay na wanjala),itakuwa imewauma sana hawa jamaa.
 
Sasa nini hii?? Hizi picha tumeziona na tukakanusha, unafikiri mbona hujaleta ya mchana?? halafu hakuna mtu angewapa design ya BRT stations?? a very poor one!!!

Modern city roads look like this ones in Nairobi
Cv2GVXEVIAE7vb7.jpg


If you want shoping, a modern city provides this
30419104433_3a9e3f7b28_b.jpg


In Modern city living, Nairobi bears it all
Bifgu9X.jpg



X1j7vC8.jpg


Hotels in a modern City
Kempeski
villa-rosa-kempinski.jpg


43569297.jpg


The Boma
the-boma-nairobi.jpg


maxresdefault.jpg


The-Boma.jpg


The Panari Sky Center
1367488482_home_img12.jpg


01.jpg


Planned housing, see till your horizon
greenspan2.jpg


Recreation
12912706_673892299425149_789656894_n.jpg


917440_442241949298872_354958876_n.jpg


KNWIN105.jpg
asa wew ulivyotuma ndyo umeona vyakijanjaa mwenyewe kweli we wakale...unashow hyo golf ground ya aina hyo na hayo majengo unasema yakisasa....unanisikitisha we mkenya
 
asa wew ulivyotuma ndyo umeona vyakijanjaa mwenyewe kweli we wakale...unashow hyo golf ground ya aina hyo na hayo majengo unasema yakisasa....unanisikitisha we mkenya
Leta golf course ya tz ...tuione hiyo yenyu
 
Upuuzi tu huomji wa kigamboni unaanza kujengwa mwakagani au mnataka kuwadanganya wakenya
 
Upuuzi tu huomji wakigamboni unaanza kujengwa lini au mtaka kuwadanganya wakenya
 
hizo zipo mingi tena sana can't even name them all, kwani unadhani hatuna decoders. Such a petty argument. Personally I use Safaricom decoder.
duuh hadi mtandao wa simu umewasaidia kuipa brand decorder kweli nyie ndizi mbovu
 
I think the last time I checked Mozambique has its own ports it has an outlet to sea.Your SGR is not yet started while the Kenyan one is already complete by the time your will have started Kenyan one will have been electrified and it will be faster than yours of 160km/hr because it will cruise at 240 km/hr. Currently it is cruising at 12okm/hr and it uses diesel. So those are two world aparts. Kenya has connection to Congo through multiple channels that is South Sudan and Uganda..so leave your ignorance when you say that Congo market is out of Kenyan reach. Ugannda SGR will be extended to Rwanda and that forms a connection to Mombas port which is by far more efficient. Kenya has plans and commercial agreement to construct SGR from Lamu to Ethiopia and South Sudan and even your country northern Tanzania so leave your arguments that Tanzania has or will have the largest railway connection. You either like it or not Kenya has a geographical advantage far above your country. Mombasa port serves Northern Tanzania, Uganda, Rwanda, Congo while Lamu port serves Ethiopia, South Sudan and northern Kenya and it is now under construction scheduled for completion in 2018 that is 1st berth and others to follow in 2020. Leave alone that your Bagamoyo port which has not even started to see the light of the day let alone the market it will serve because it has a poor geographical positioning.
ha haaa kuwa mpole utaumia
 
ebu tueleze tukuelewe...Tanzania inatuogopesha kwa lipi
cha kwanza kijeshi mkileta longolongo tunawabonda bonda sekende cha pili iko waz nyie wakenya macho yenu yote yapo tanzania kiushindan mnahofia sana tukija kuwapita kiuchumi hilo halina ubishi maana mnaoipinga ni TZ tu kwa nin isiwe uganda
Tanzania inawaogopesha sana munatapatapa sana hahaha eti mlivosain epa mukajua na tanzania watasaini hahaha tumechomoa na Uganda wamechomoa sisi tunataka viwanda na ajira kwa vijana sio porojo
 
Nimesoma sana kwanzia mwanzo nikaona mushazidiwa sasa nilikuja kumaliza kazi na kufunga ukurusa na nondo nishawateremshia hahahhahhaa

Kama umesoma mbona unarudia vitu vimepostiwa hapa mara ishirini?? Ukipost boat?? Akili yako itakuwa inakwambia uzi unasema nini?? Tena ndani ya boat, isaidieaje??? Sisi tupige picha ndani ya ndege za KQ tukisema hiyo Ni Nairobi??? Kama hakuna cha ziada kupost tulienda viundwe, kama hamna rudi vijiweni ukachonge!!

Unajua mfano hiyo airport umepost pale ilikuwa kwenye kurasa za kwanza sita za uzi huu, hadi waleo ni picha hizohizo, maanake, bado haijakamilika, Tangu isemekane inaundwa,

1. isiolo International Airport imeisha
2. Two Rivers imeisha
3. JKIA Terminal 1A, B, C zikaisha
4. Moyale Meru Road 800km ikaisha
5. Southern Bypass ikaisha
7. Outer Ring Road ikaanza na sasa inakamilika!!

Wewe unarudi hapa na wimbo uleule! Tulia bana, jua watu walivyo halafu makinika uache ulimbukeni jukwani
 
cha kwanza kijeshi mkileta longolongo tunawabonda bonda sekende cha pili iko waz nyie wakenya macho yenu yote yapo tanzania kiushindan mnahofia sana tukija kuwapita kiuchumi hilo halina ubishi maana mnaoipinga ni TZ tu kwa nin isiwe uganda
Longolongo ni zako wewe, we mwehu, nini? Chengdu yaweza kushtua Wakenya??
 
asa wew ulivyotuma ndyo umeona vyakijanjaa mwenyewe kweli we wakale...unashow hyo golf ground ya aina hyo na hayo majengo unasema yakisasa....unanisikitisha we mkenya
We ajab yako kutoelewa!! Mwalimu wako alipata shida sana wewe!! Soma hapo nimeandika nini!!! Ok huelewi, nimekupangia vitu vichache kuonesha jiji la Nairobi kujitosheleza, Barabara, hoteli, makaazi, ofisi, burudani nk. sio eti ni hizo tu, ila kutoa mifano tu!!
 
Back
Top Bottom