Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Wat
Watoe wapi wakat hawana kelele tu zimewajaa eti wanatuletea link za 2000 wakat tuko 2017
Nimesoma sana kwanzia mwanzo nikaona mushazidiwa sasa nilikuja kumaliza kazi na kufunga ukurusa na nondo nishawateremshia hahahhahhaaWe ni mgeni, acha ushamba wako hapa, huu uzi uko kwenye kurasa wa 106, enda soma tangu kurasa wa 1, usitochoshe hapa na ulimbukeni wako
Habari za Nairland hukoWe ni mgeni, acha ushamba wako hapa, huu uzi uko kwenye kurasa wa 106, enda soma tangu kurasa wa 1, usitochoshe hapa na ulimbukeni wako
Hii mentality yako inaonyesha your backwardnessNdio maana mademu zenu wanapenda wabongo coz wanajua kuvaa wanazo swaga sio nyie mchana jua Kali uvae suti ili uonekane mzungu akili au uharo
hahaha hii issue ya madaktari toka bongo kwenda kuwatibu wakenya wengi ambao ni masikini(kundi la kina depay na wanjala),itakuwa imewauma sana hawa jamaa.Hahahaha!!! Bongo raha sana ndiyo maana amekomaa hapa hapa.
asa wew ulivyotuma ndyo umeona vyakijanjaa mwenyewe kweli we wakale...unashow hyo golf ground ya aina hyo na hayo majengo unasema yakisasa....unanisikitisha we mkenyaSasa nini hii?? Hizi picha tumeziona na tukakanusha, unafikiri mbona hujaleta ya mchana?? halafu hakuna mtu angewapa design ya BRT stations?? a very poor one!!!
Modern city roads look like this ones in Nairobi
If you want shoping, a modern city provides this
In Modern city living, Nairobi bears it all
Hotels in a modern City
Kempeski
The Boma
The Panari Sky Center
Planned housing, see till your horizon
Recreation
hafu waambie wakuchek jinsi mjanja ulivyotulia poz apo kwa kitiNairobi jiji gani bwana halina hata kaufukwe kamoja dar kuna beaches za kufa mtuView attachment 478396
Leta golf course ya tz ...tuione hiyo yenyuasa wew ulivyotuma ndyo umeona vyakijanjaa mwenyewe kweli we wakale...unashow hyo golf ground ya aina hyo na hayo majengo unasema yakisasa....unanisikitisha we mkenya
duuh hadi mtandao wa simu umewasaidia kuipa brand decorder kweli nyie ndizi mbovuhizo zipo mingi tena sana can't even name them all, kwani unadhani hatuna decoders. Such a petty argument. Personally I use Safaricom decoder.
ha haaa kuwa mpole utaumiaI think the last time I checked Mozambique has its own ports it has an outlet to sea.Your SGR is not yet started while the Kenyan one is already complete by the time your will have started Kenyan one will have been electrified and it will be faster than yours of 160km/hr because it will cruise at 240 km/hr. Currently it is cruising at 12okm/hr and it uses diesel. So those are two world aparts. Kenya has connection to Congo through multiple channels that is South Sudan and Uganda..so leave your ignorance when you say that Congo market is out of Kenyan reach. Ugannda SGR will be extended to Rwanda and that forms a connection to Mombas port which is by far more efficient. Kenya has plans and commercial agreement to construct SGR from Lamu to Ethiopia and South Sudan and even your country northern Tanzania so leave your arguments that Tanzania has or will have the largest railway connection. You either like it or not Kenya has a geographical advantage far above your country. Mombasa port serves Northern Tanzania, Uganda, Rwanda, Congo while Lamu port serves Ethiopia, South Sudan and northern Kenya and it is now under construction scheduled for completion in 2018 that is 1st berth and others to follow in 2020. Leave alone that your Bagamoyo port which has not even started to see the light of the day let alone the market it will serve because it has a poor geographical positioning.
cha kwanza kijeshi mkileta longolongo tunawabonda bonda sekende cha pili iko waz nyie wakenya macho yenu yote yapo tanzania kiushindan mnahofia sana tukija kuwapita kiuchumi hilo halina ubishi maana mnaoipinga ni TZ tu kwa nin isiwe ugandaebu tueleze tukuelewe...Tanzania inatuogopesha kwa lipi
Tanzania inawaogopesha sana munatapatapa sana hahaha eti mlivosain epa mukajua na tanzania watasaini hahaha tumechomoa na Uganda wamechomoa sisi tunataka viwanda na ajira kwa vijana sio porojo
Nimesoma sana kwanzia mwanzo nikaona mushazidiwa sasa nilikuja kumaliza kazi na kufunga ukurusa na nondo nishawateremshia hahahhahhaa
Longolongo ni zako wewe, we mwehu, nini? Chengdu yaweza kushtua Wakenya??cha kwanza kijeshi mkileta longolongo tunawabonda bonda sekende cha pili iko waz nyie wakenya macho yenu yote yapo tanzania kiushindan mnahofia sana tukija kuwapita kiuchumi hilo halina ubishi maana mnaoipinga ni TZ tu kwa nin isiwe uganda
We ajab yako kutoelewa!! Mwalimu wako alipata shida sana wewe!! Soma hapo nimeandika nini!!! Ok huelewi, nimekupangia vitu vichache kuonesha jiji la Nairobi kujitosheleza, Barabara, hoteli, makaazi, ofisi, burudani nk. sio eti ni hizo tu, ila kutoa mifano tu!!asa wew ulivyotuma ndyo umeona vyakijanjaa mwenyewe kweli we wakale...unashow hyo golf ground ya aina hyo na hayo majengo unasema yakisasa....unanisikitisha we mkenya
usiogope nyie kijeshi tunawabondabonda tena knock out huku sis TUNAWABUILD heroes army msije kuingia ovyo kwa hlo yapaswa ujueLongolongo ni zako wewe, we mwehu, nini? Chengdu yaweza kushtua Wakenya??
usiogope nyie kijeshi tunawabondabonda tena knock out huku sis TUNAWABUILD heroes army msije kuingia ovyo kwa hlo yapaswa ujue