Fananisha alaf utupe jibu mwenyewe hahahahahhaNa hii ni Dar is slum. Hata mbwa hawezi kuishi hapa
View attachment 479317
Fananisha alaf utupe jibu mwenyewe hahahahahha
Hio ufananishe na ile hata aibu uone au ndo vile hutak kushindwa mombasa is a city hahahhaaa mwembe tayari hhahahha acha vituko wwHiyo iko Mombasa nyingi sana
View attachment 479321
Si bunge hiyo ni msikitiNataka muoneshe bunge lenu maana nyumba za polisi mumekataa kuionesha au ndio wanaish kibera hahahahView attachment 479322 View attachment 479323
Nairobi Kenya
Hivi hii nyumba ya Mbuzi mtu!!?
Kaulize gongo la mboto majumba yalivoangushwa ya adabu huku watu wanajenga vibaya mno sio nyie munaish kama mumekufaTihahahhaaaaa..... Vijana wa Bashite si mko na Bundles za kuwaste kulitetea jiji ambalo ni 70%.....Wewe unaishi makaburini au gongolamboto?? ?
DARESLUM
View attachment 478293
Kaulize gongo la mboto majumba yalivoangushwa ya adabu huku watu wanajenga vibaya mno sio nyie munaish kama mumekufa
Usisahau kibera 2.5 million wanaishi kama mbuzHahaha.... Hamna chochote nyie. Acheni aibu ya pesa nane..... Dar es salaam is the slummiest city on earth. Take that to bank
Usisahau kibera 2.5 million wanaisha kama mbuI
Fananisha macho siunayo hahahhaa aibu huna we hahahhaha duh aise hio ndio city of Nairobi hahahhahahahDar is slum
View attachment 479326
Sio manzese ile huku watu wanajenga nyumba za kisawasawa hahahha njoo manzese ya leo uone gorofa zilivowekwaNa Dar is slum 4.5 wanaishi kama kombamwiko huko Manzense