Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

holiday-inn-dar-es-salaam-2532950746-4x3.jpg
 
Hiyo nairobi yenyewe sina ninachoona zaidi twiga hao wanaodoea breakfast ya hao wazungu hapo.......twiga wa nairobi ndio waroho namna hii ?
 
Tuanze kuwekeana Link
Mbuzi wewe
Nyumba za Mabati kuanzia chini
et uchumi wa kati!!
Hahaha uchumi gani wanao hawa uchum wote wakenya wamebeba wageni sio wazawa, wao wamebakia kusema Kenya airways yakwetu wakat 27% KLM Kenya 29% zilizobaki zote za wanaume kutoka nje na ndege zote ni za kulease anaebisha apanue mdomo nimfungulie kitabu tanzania tunanunua ndege cash in hand na bado tumeagiza zingine 5 cash in hand ikiwemo dream liner
 
Unafkiri tanzania wataacha kujenga nyumba nzuri nzuri wakat mfuko wa cement 50kg tunanunua 400 ya Kenya vat inclusive hahahhaha kibera naona zile ni zizi za mbuzi na kondoo
 
Tanzania hakuna binaadamu anaishi nyumba ya bati inamaana hata kujenga kwa tope imeshindikana haahaha alaf Nairobi is 3.5 it means 2.5m wako kibera ahahahhahaha aise duhhhh wageni wamejaa kushika uchumi wote wakenya wazawa wakenya ndio wako kibera hhahhahaha
 
Wewe kunguni huijui Manzese
unadhani Manzese ya 2017 ni ya 2000!!

Njoo ulinganishe manzese hii ya sasa na Kibera!!!


MANZESE DAR ES SALAAM

e9ae1bed8344a65534251e8f28c4566b.jpg
f5e4b65b0e1566c498f3b4064055050e.jpg
6cf8240129ad30e897ee39ba0291bd4d.jpg
9ad5a721e0e7b80ad398a0692298e672.jpg


NJOO NAIROBI

JEHANAM
12ee37dee5e8bb7e73acd2e8360ed5a6.jpg
50e92dc74699a6f9fe40bc58f32e8941.jpg
bf1a9d0d2c2e5f5de492df37d5ef022c.jpg
9e5da24e2afa8dbc57833e4d9d0b29da.jpg
Nilimwambie mm manzese Sikh hizi watu wanajenga magorofa akadhani namtania ndo hio sasa ajionee
 
Back
Top Bottom