Naipenda dar hadi najihisi kuumwaKama mambo ya kupost umeishiwa si uache tu, sasa hii mambo ya tuta.....ita... ujinga gani huu! Weka picha achana na renders.
Hahaha hutaki au umeambiwa iko Kenya hahahhahaha tanzania iacheni ni ya moto vibaya mnoKama mambo ya kupost umeishiwa si uache tu, sasa hii mambo ya tuta.....ita... ujinga gani huu! Weka picha achana na renders.
Nani amekwambia renders wakat nakwambia kitu kiko under construction we unaumwa nn nakwmbia hio ni project iko under construction since last year huamini au hahahahhahaKama mambo ya kupost umeishiwa si uache tu, sasa hii mambo ya tuta.....ita... ujinga gani huu! Weka picha achana na renders.
Who ask youNaipenda dar hadi najihisi kuumwa
Sisi hakuna Nyumba za Mabati ndugumi napendekeza ....tuje na picha zao za mazingira mabovu ya nairobi na wao waje na picha za mazingira yetu mabovu hafu tulinganishe wapi kwenye unafuu....
hawawez kuja nazo hata siku moja it means more tha 3 million people in nairobi wanaishi kwenye slum kama hizo duhhhhhhSisi hakuna Nyumba za Mabati ndugu
hawa Nyumba zao sio zakuishi Mwanadam
ni mbuzi,Kuku, au Nguruwe
Kwakweli icho, kwa shughuli uliyoileta plus ile ya motochini,ni kichaa tuh au punguwani toka kenya ndio anaweza endelea bishana hapa, hivyo kuanzia sasa mkenya yeyote atakayeleta kapost kake kushindanisha dar na kijiji cha nairobi ni direct chizi psychiatric milembe au muhimbili inamhitaji..!! Hizo link ulizoshare icho ni chache sana,ila zinawatosha sana hao punguwani wa afrika mashariki! Tuliwaambia Dar ni bahari nairobi wanaweza kudeki bahari..!? We were silent cuz tuliwapuuzia lakin wakataka kutushika shurubu, ngoja tuwanyoe sasa...!!Mathare is a collection of slums in Nairobi, Kenya with a population of approximately 500,000 people;
hebu angalieni hata mbuzi hawez shuka chini anaogopa maradhi + kibera 2.5 million +matopeni etc hahahahahView attachment 479457 View attachment 479458 View attachment 479460 View attachment 479461 View attachment 479462 View attachment 479463 View attachment 479464 View attachment 479465
hebu tel me nai population is 3.5m, wakat kibera kuna 2.5million + mathare 0.5million+matopeni 30000 people so hao waliobaki ndio wako mjini mm hua nawaambia uchumi wao 70% umeshikwa na wageni na hua hawakubaliKwakweli icho, kwa shughuli uliyoileta plus ile ya motochini,ni kichaa tuh au punguwani toka kenya ndio anaweza endelea bishana hapa, hivyo kuanzia sasa mkenya yeyote atakayeleta kapost kake kushindanisha dar na kijiji cha nairobi ni direct chizi psychiatric milembe au muhimbili inamhitaji..!! Hizo link ulizoshare icho ni chache sana,ila zinawatosha sana hao punguwani wa afrika mashariki! Tuliwaambia Dar ni bahari nairobi wanaweza kudeki bahari..!? We were silent cuz tuliwapuuzia lakin wakataka kutushika shurubu, ngoja tuwanyoe sasa...!!
Kibera ina 250k people, not 2.5 million.There is no logical way all those guys can fit kwa that small area. Hizo stats zako umezitoa wapi. Hio ndio size ya kibera. The real size. Wacha pang'ang'a. Ona the nice areas around Kibera. Estimate the sizehebu tel me nai population is 3.5m, wakat kibera kuna 2.5million + mathare 0.5million+matopeni 30000 people so hao waliobaki ndio wako mjini mm hua nawaambia uchumi wao 70% umeshikwa na wageni na hua hawakubali