Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ndio slum ya ajabu duniani inayoongoza na kushangaza dunia, na watu hua wanajiuliza hapo wanakaa binaadamu au nguruwe, the biggest slum in the world, hio ndio kibera nairobi with a population of 2.5 million poor kenyans
 
Kwanza umeona sisi hatuish kwenye zile zizi za nguruwe kama za kibera, nyumba zetu zote blocks hehehehe

Wengi wanashindwa kutofautisha kati ya slums na unplanned settlements. Tanzania kuna unplanned settlements na si slums.

Nitaeleza wakati mwingine characteristics za slums.
 
I

Imagine watu wanakaa kwenye risky and unpleasant environment kama hii..... halafu madaktari wanagoma kwa zaidi ya robo mwaka.
 
Wengi wanashindwa kutofautisha kati ya slums na unplanned settlements. Tanzania kuna unplanned settlements na si slums.

Nitaeleza wakati mwingine characteristics za slums.
Kama nilivo zungumza awali hawa hua wamekaririshwa kua waamini wao sikuzote wako juu kwa kila jambo alaf mtu anakufata anakwambia Kenya iko middle economy wapi umeskia nchi ya middle economy inatangaza njaa, nchi INA gap kubwa kati ya maskini na tajiri alaf anakwambia middle economy hehehhe kwa kujisifia tu hawajambo
 
I


Imagine watu wanakaa kwenye risky and unpleasant environment kama hii..... halafu madaktari wanagoma kwa zaidi ya robo mwaka.
wametuomba madaktari kutoka tanzania kwakua sisi hatuna roho za korosho tutawapa tu
 
wametuomba madaktari kutoka tanzania kwakua sisi hatuna roho za korosho tutawapa tu
Hatuwapi ndugu. Waaache nyodo zao hiki ni kipindi cha uchaguzi wasije wakawachinja Madaktari wetu.
 
Hatuwapi ndugu. Waaache nyodo zao hiki ni kipindi cha uchaguzi wasije wakawachinja Madaktari wetu.
hahaha kabisa waache kwenye uchaguzi wauwane kwanza sisi tuendelee kujenga nchi ya viwanda
 
Bora mimi ni think twice ila wewe unatakiwa u reread
 
He got sick while in Tanzania. Anaconfess kuwa Tanzania hamna facilities
 
Huyu si fanboy wa Kenya ama Tanzania anasema haya. Amesema Kenya was much more developed than Tanzania. Utapinga Ichiboy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…