LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
Nitajie nne pekeeetafuta hahah kwan mimi umeona nakutuma uweke picha za nairobi hujawah kufika dar ndio maana huifahamu hahhahaha
Pia SA wana slum kubwa sana. Na hatuwezi jilinganisha na waotatizo ni middle economy inayoshangaza dunia hata mm sijawah kuona nchi ya middle economy ina slum kubwa maskini duniani, alaf gap kubwa kati ya tajiri na maskini, lakin tatizo lako nalijua umeshakula au bado munanjaa maana mliomba msaada kusaidiwa kulishwa chakula eti midlle economy inaongoza na unemployment rate
Ooohh nimekumbuka hujui kusoma kizungu. Poor chap.Bora mimi ni think twice ila wewe unatakiwa u reread
Kwanini ishu ya hospitality especially hotels hatuwafikii Nairobidar es salaam has modern marine boats and farriers in east Africa, dar es salaam operate digital decoder technology and has many telecom companies hence communication is cheap in east Africa, dar es salaam has low unemployment rate compare to nairobi, dar es salaam has many hotels and cafeterias where food and drinks are cheap compare to nairobi, dar es sslaam population rate is higher compare to nairobi,
kibera nairobi ndio inayoongoza kwa watu 2.5millon people haijawah kutokea kama hio tafuta link ya 2016View attachment 480826 Slums si yardstick. Wataka kusema TZ ni more developed than those Countries hapo??
aliekwambia nani ww umetoka kuamka sasa hvi auKwanini ishu ya hospitality especially hotels hatuwafikii Nairobi
slum ya south africa ni 400k only hahahahhaha we usipoteshe mada hapaPia SA wana slum kubwa sana. Na hatuwezi jilinganisha na wao
tafuta links za 2017 ww kunguni unatuletea news za kupika hapaHii ni map ya internet penetration the world. Compare Kenya and Tanzania. Internet nikama iko mijini pekee.Hio Kenya na TanzaniaView attachment 480823
Shida yako una wivu na Nairobi. Kibera ni slum ya 2.5sq km. Nikakupa mpaka map. Wacha niupload tena. Watu 2,5 million hawawezi toshea hapo. Nilikupa link. kibera ni moja ya slums which add that figure. Which is also inflated by NGOs for funding. Ndio hio size halisi. watu milioni mbili watatoshea hapo??kibera nairobi ndio inayoongoza kwa watu 2.5millon people haijawah kutokea kama hio tafuta link ya 2016
nipe linktafuta links za 2017 ww kunguni unatuletea news za kupika hapa
Hio ni billionares, that guy has monopoly. what about millionares, na middle class??
na hio ilikuwa karibu 9 years ago waliku 2 millionShida yako una wivu na Nairobi. Kibera ni slum ya 2.5sq km. Nikakupa mpaka map. Wacha niupload tena. Watu 2,5 million hawawezi toshea hapo. Nilikupa link. kibera ni moja ya slums which add that figure. Which is also inflated by NGOs for funding. Ndio hio size halisi. watu milioni mbili watatoshea hapo??View attachment 480836
kumbe hamuna billionares anhaa nilikua nimesahau hahahahah tanzania yamoto sana hii ni 2017 my friend na mm nakwambi 2020 tanzania itakua baba yenu nyieHio ni billionares, that guy has monopoly. what about millionares, na middle class??