Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uko sawa 100%
 
Bahat nzuri kapiga picha na slum hahaha kajisahau huyo
 
Weka hizo picha, wacha kutapatapa. Mna nini zaidi ya PSPF?
Wekaa pichaa ya mitaa pia, ama nikusaidie?
Inamaana hua huzioni au heheh huyu jamaa vp tumepost picha mpaka mumekumbia humu hukuziona au ndo umejitia upofu
 
Wameomba picha za estate wameekea modern estate wameeanza kubutuka alietaka picha za estate kashalala mbele hahhaa wanavituko hawa
 
We kwa akili yako tazama estate za dar na Nairobi hvi bado unakzana kubishana tu alaf karuka estate anaomba tumuoneshe concrete zetu hahahaha
 
Kwao hua ni Barbara tu nothing else huwez mkuta mkenya anapost kitu zaidi ya barabara hahahhahaha foolish

Ulimaliza shule mwaka uliopita naona. The excitement you have can make a hen lay an egg...
 
We huwez kunisaidia nimekwambia fungus page za nyuma zimejaa usichoke ww tu maana naona Leo uko race sana

Mitaa za jiji ya DAR is SLUM
Pathetic, this ios all u ever show........the best Dar has got



But,













 
Ms
Msikieni huyu jamaa hajui hats mji unaokua kwa kas Africa kama ni dar es salaam hahhaa msaidieni huyu bado hajui kama Tanzania ndio inaongoza kwa ukuaji was uchumi kwa 7% baada ya Ghana africa hhahha hajui bado
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…