Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hawa wakenya wanaojitutumia hapa jf kubishana na wtz,baadhi yao wanaishi kenya mashinani na wengine wanaishi nairobi.

kwa wale wanaoishi nairobi,asilimia kubwa wanaishi maeneo haya:
makuru kayaba
githurai
kibera
mathare
kariobangi
kangemi
kawangware
huruma
dandora
kayore
umoja
mwiki.


wakazi wa nairobi wanaoishi maeneo ya westland,lavington,karen na runda,wao hawana mda wa kushinda mtandaoni kubishana na watz kwasababu kipato chao kinawafanya wawe na uwezo wa kutembelea sehemu mbalimbali za Tz kuja kula bata.

wanaifahamu dar vizuri na maeneo yake.wanafahamu vizuri kasi ya kimaendeleo ya jiji la dar.

tatizo lipo kwa wale machokoraa wa yale maeneo niliyotaja pale juu.wao wanaifahamu dar kupitia internet tu.

hawa machokoraa hata nauli ya kutoka nairobi kwenda kula bata mombosa huwa wanakosa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Uko sawa 100%
 
Sawa watz, lakini hebu pia tuonyesheni vitu sampuli hii......kweli mkiwa na hivi mavitu, sisi hapa Kenya tutawaheshimu baraabara.
Lakini as long as bado mko hiovi hivi, mkichest thump ilhali kimiundo mbinu bado mko chini yetu, madharau kutoka kwetu bado mtaendelea tu kuzipata! Kenya ndio nchi ambayo imeendelea zaidi kwenye kanda hili, mkatae mkubali shauri zenu, ukweli bado utabakia pale pale.

Tuanze na eneo ya makaazi


ichoboy01 1 amekuwa akizungumzia kibera kila mara, hili hapa ni mtaa wenyewe wajengwa upya. Ipe kama miaka mitano-kumi hivi
4lrxyHO.jpg


29SOG.jpg


I3eh5.jpg


The-numbers-of-cars-parked-in-these-houses-bring-to-queation-the-effectiveness-of-the-slum-upgrade-Who-benefits-from-these-house-allocations.jpg


slum+px.jpg


g9SAf59h.jpg


16123406_251684441937848_5272866271954731008_n.jpg
Bahat nzuri kapiga picha na slum hahaha kajisahau huyo
 
Wameomba picha za estate wameekea modern estate wameeanza kubutuka alietaka picha za estate kashalala mbele hahhaa wanavituko hawa
 
We kwa akili yako tazama estate za dar na Nairobi hvi bado unakzana kubishana tu alaf karuka estate anaomba tumuoneshe concrete zetu hahahaha
 
Kwao hua ni Barbara tu nothing else huwez mkuta mkenya anapost kitu zaidi ya barabara hahahhahaha foolish

Ulimaliza shule mwaka uliopita naona. The excitement you have can make a hen lay an egg...
 
Ms
LOOK AT THIS... THE VERY SOBER VERY ONES KNOW IT
"Watanzania WENZANGU Acheni kujifananisha na Kenya labda kama mnafanya utani. Kenya ni Habari nyingine kwenye ishu ya uchumi na ukuaji wa majiji
tutawapiga kwenye population na vivutio tunayo vingi kuwazid Ila Kwa mji
unaokua Kwa KASI Africa Nairobi inafanya vizuri"
Msikieni huyu jamaa hajui hats mji unaokua kwa kas Africa kama ni dar es salaam hahhaa msaidieni huyu bado hajui kama Tanzania ndio inaongoza kwa ukuaji was uchumi kwa 7% baada ya Ghana africa hhahha hajui bado
 
Back
Top Bottom