Haya muoneni huyu sasa hahahha huyu naona Leo hayuko proper haijui kumbe dar huyuMitaa za jiji ya DAR is SLUM
Pathetic, this ios all u ever show........the best Dar has got
But,
Then tell us Wat u knw"dar es salaam has a tallest completed building in east and central Africa"
hahahahha please update your brain cells.
Mitaa za jiji ya DAR is SLUM
Pathetic, this ios all u ever show........the best Dar has got
But,
BRT, nice aerial shotWeka nasubiri ili namm nikuekee mazuri mazuri ya nairobi
uyo mgeni kakurupuka ichoboy usitume picha hawa ndyo wale wasioishi nairobi wapo nnje kabisa na nairobi na dar haijui kabisa ivyo abaki na ujinga wake wa kutuma tuma picha kavamia gameInamaana hua huzioni au heheh huyu jamaa vp tumepost picha mpaka mumekumbia humu hukuziona au ndo umejitia upofu
Hata wakikasirika..wavumilie..ndo haki ilivo....Umenufurahisha sana unaonesha picha ya future plan ya BRT wakati haipo hata kwenye budget yenu sio leo wala kesho so tuoneshe real pics usiogope hahahahhahha
siku walivoanzisha la mwakyembe wao walitusimangaaaaa wee utafikiri jua linazunguka nairobi tu, baada ya siku si chache la mwakyembe wetu likaanza kukamua kama kawa miruti kibao na tazara inakamua upande mwingine, halafu upande mwingine huku kwetu kuna vitu vya blue vina vinakamua katika km kama 21 morogoro road, na nyingine kawawa road pamoja na kivukoni. kwa kifupi modern public transport in the region, halafu kwa dharau eti wanakuja kufananisha matatu.kwa hizo flyover ndyo mtutambie ila si kwa vitu vingine.......ila nasi soon ...tupo njian tunawachora huku tukicheka[emoji3] [emoji3] [emoji3]
Mm mbona nawajua hawa nje ndani ndio maana hawanisumbui kabisaHata wakikasirika..wavumilie..ndo haki ilivo....
Hahahhaha kachakachua picha hip sio dar my friend muoneni huyo hhahhhaaThis view is stunning when landing at JNIA. A carpet of Brown
View attachment 480953
Sasa Kibera na Matopeni ipo level ya wapi..HahahaSi usome post nimeandika kwa kiswahili unaogopa kusoma, ni uvivu,
Nimesema, sio tabia yetu wakenya, nivile tu, unadhani BRT ni jiji!! Pili, wewe unadhani kama hakuna mpango, nimetoa wapi Renders?? Mradi huwa unapendekezwa, study ifanywe ya mazingira na faida zake, kisha plani zichorwe, kisha ijengwe. Hio sasa imefika planing stage, ndio maana unaona picha kama hizo, ama unadhani mimi nimechora?
Haya basi achana nayo, nilikuwa tu nakujulisha. Ujue Dar iko league ya Mombasa na tulimaza hayo, Ona Mombasa hapa
level ya Dar
Hawa tatizo lao mdudu aliekichwan mwao hua anawadanganya kua tanzania still iko backwards 50 yes kumbe hawajui tz no ya 2017 leosiku walivoanzisha la mwakyembe wao walitusimangaaaaa wee utafikiri jua linazunguka nairobi tu, baada ya siku si chake la mwakyembe wetu likaanza kukamua kama kawa miruti kibao na tazara inakamua upande mwingine, halafu upande mwingine huku kwetu kuna vitu vya blue vina vinakamua katika km kama 21 morogoro road, na nyingine kawawa road pamoja na kivukoni. kwa kifupi modern public transport in the reginal, halafu kwa dharau eti wanakuja kufananisha matatu.
sasa hivi kila kitu lazima usimwangwe na fly overs, muda si mrefu tuatakua nazo na watatafuta lingine, Tumesemwaa wee kuhusu suburbs sasa hivi dar kila kona kuna estates na satelite cities kibao. Ila ni aibu kwa nchi inayojiita middle class na business minded people ambao walikua wanatakiwa wawe level sawa na singapore bado wanatembelea kichwa na sisi hapa. maendeleo yao mengi bado underconstruction lakini wanaongea utafikiri walifanya hayo miaka sabini iliyopita.angalia hata hizo flyover zao hata landscaping bado hawajamaliza.
kama mimi ningekaa kimya.
Usisahau na matopeni napo kuna maajabu 7 ya afrikaSasa Kibera na Matopeni ipo level ya wapi..Hahaha