Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo lako ww hutokaa kujua maana ya unplanned na slum dar hakuna slum slum ya ajabu pekee afrika iko Nairobi kibera ambapo hata nguruwe hawez kuish hapo

Tihahahhaaaaa.... My boy.... Bado sana Bado. Sasa twende kwenye mchakato wa kukula Albino
 
buda I appreciate your struggle but I feel very sorry for you cos these are the same photos that you been sharing here since 2012/2013.

the only different I see is the camera angle and photo filters.

the guy who does the job of capturing or editing these photos is very creative in playing with angles and color filters.he should be given an award.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji24] [emoji24]
 
Hahhahahhhhaha kumbe nanyie mumeona sasa
 
Okay, but are your photos new?

 
The
Tupe sasa picha za mitaa na mabarabara. Jiji nzuri sio majengo marefu tu.
Huyu jamaa vp waulize wenzako kwenye majengo tulishamalizana nao wakakimbia wakaomba estate wamelala chali we unaomba kuomba concrete au unafkiri zilishushwa hizo my friend urban city of dar is 1590 km sq and Nai is 696 km sq tumia akili ya kuzaliwa tu
 

Hili liliwafanya kukimbia?
 
Yule mwenzake kaona kaelemea analeta issue ya albino hahahah jamaa wananifurahisha sana wakenya Siku zote daima hawakubali kushindwa hata siku moja
 
Kaangalia majengo hayo yamejengwa lini alafu uje nikufundishe sasa
Hahahahaha... huyu ni mmoja ya wale vijana wa nairobi wanaoishi vile vitongoji duni niliyotaja ktk post moja wapo hapa hapa kwenye hii thread.

huyu dar anayoifahamu ni ile ya ku-google,wakati sisi nairobi tunaifahamu physically in and out.
 
We imagine Nairobi has population of 4 mill kibera tu INA 2.5m mathare ina 0.5m na matopeni ina 30k hapo sijamaliza slum zote ziko nyingi tu hebu chukua takwimu hio kwa haraka haraka tu
 
Jamani ki ukweli Mimi ni mtanzania wa asili kabisa lakini Hii battle ya Nairobi na Kenya ni Rahis Mno na huu ndo mtazamo wangu....

Nairobi ipo mbali Sana kuliko Dar katika Nyanja za uwelewa wa kimaisha

Kuhus madhari ya Haya majiji mawili Bado Nairobi ipo mbali sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…