ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 79,360
- 154,913
We dar nenda sehem yoyote jiji zima 1590 km sq kunajengwaNi kweli kabisa kaka kwa namna Dar inavyojengeka sio ubishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dar nenda sehem yoyote jiji zima 1590 km sq kunajengwaNi kweli kabisa kaka kwa namna Dar inavyojengeka sio ubishi
Dar hakuna slum dar uniambia unplanned lakin slum hakuna ahhhaha, slum ziko sehem Sena hutaki kuzitaja au nikusaidie
Hahahhaha
Weweweeeeeeeeee kanyoosha mikono hahahhahaa kakimbia huyo rudi hapa kwnza nilisema lazma nizae na ww
Ni kweli kabisa kaka kwa namna Dar inavyojengeka s
Depay sio kweli babu whole Dar sio slum, changamoto zipo nyingi tu kama Nairobi ila kwa kasi ya serikali ya sasa naamini Real Estate inakoelekea ni pazuri,The Whole of Dar is Slum. See for yourself. Ukimaliza meza piriton ulale.
View attachment 480980
Sawa, lakini kwa sasa mkubali ya kuwa Kenya iko mbele yenyuDepay sio kweli babu whole Dar sio slum, changamoto zipo nyingi tu kama Nairobi ila kwa kasi ya serikali ya sasa naamini Real Estate inakoelekea ni pazuri,
Umeshindwa kuweka picha kwenyu.
Hizi ni picha za Uganda, matatu zetu hazina hizo rangi ya blueAlaf wanataka kuringanisha bus stand za dar na Nairobi hahahah utasema hawana serekaliView attachment 480996 View attachment 480997 View attachment 480998
Hizi ni picha za Uganda, matatu zetu hazina hizo rangi ya blue
Hatuna slum sisi tueke nn sasa hahaha we zenu umewekaUmeshindwa kuweka picha kwenyu.
Sijaomba utuwekee slums,Hatuna slum sisi tueke nn sasa hahaha we zenu umeweka