Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Depay, you want to mean Dar can be captured in one shot?????
nairobi kupo kawaida tu, mambo yotr ssm
Yeah Edward Wanjala, Nairobi is THE CITY in this region, all the other capitals are trash in comparison.
These Tanzanians managed to build some three, blue towers and added a BRT, now they think that they're ahead.
How ludicrous!
Nimeishi Nairobi kwa miaka 6... kunzia mwaka 2004 hadi 2010... tunawazidi Kiswahili kuongea Kiswahili na Hakuna kingine
Okay, but are your photos new?
Are you serious asking this silly question???
![]()
Mi mwenyewe namshangaaM
Matatu tulishasahau sasa tunatumia modern bus rapid transport hatuko huko tena
Au vile umefika pekeako afadhali we umefika Nai pekeake mm nimefika Nairobi,mombasa,kisumu,kericho,Nakuru, kuna jipya gani nimeona dar hakuna kitaje hapa nikiskieNimeishi Nairobi kwa miaka 6... kunzia mwaka 2004 hadi 2010... tunawazidi Kiswahili kuongea Kiswahili na Hakuna kingine
Sio kibera pekeake kuna mathare niliweka kuna matopeni niliweka kuna makuru kabaya nimeweka, githurei hehheh niendelee au sema niendelee, acha uoga sasa hahahahaUsishobokee, na usimtaje Mkenya tukisikia, Unang'ang'ania nini??? Utalipwa???? Uzi ni Dar Vs Nairobi si uweke za Dar, unakimbilia Nairobi we mwehu nini??
Cha msingi ni hakuna chochote unaweza jivunia kule Dar ndio maana unakimbilia Kibera, akili yako ndogo inakwambia hilo ni geni, kabla ujue jamii Forum, Kibera ilikuwa imeandikiwa vitabu, ikatengezewa video, ikatungiwa nyimbo!!
Itachukua mwehu kama wewe kufikiria Kibera ni jambo geni, hata Trump ukimuuliza atakwambia anaijua!!
Ungetumia akili uweke picha za Kwenu Dar, zikiisha sema nimeishiwa na uwache ushoga.
Kwa Kibera hauna lolote geni. Lakini kwetu Kibera kuna mapya, Kibera is changing and soon it will be bigger than your Dar es Slum
![]()
Hata siku moja baba kichwa chako naona kinachemka dar is 1590km sq hehehe msikilizeni huyu Nairobi 696 km sq tumia akili ulioyotoka nayo tumboniDepay, you want to mean Dar can be captured in one shot?????
Hio ndio nini sasa hahhahaha au huo ndo usafiri wenu unatuonesha aiseee munaishi maisha yakimaskini sijawahi kuona duhhh
Hapo mushashindwa sasa munaanza kutapatapa ahahhahahhasYeah Edward Wanjala, Nairobi is THE CITY in this region, all the other capitals are trash in comparison.
These Tanzanians managed to build some three, blue towers and added a BRT, now they think that they're ahead.
How ludicrous!
Mm nimewafundisha mujue maana ya slum na unplanned ila hamutaki kuelewa sasa hhhahaha nimewaonesha slum ya makuru kayaba hio ndio slum sasa hhhhehhhhheheSasa ni kama Darislum inayofanana Dadaab?
Anatuletea pic za Zanzibar tena za miaka iliopita hahahhaha hebu muangalieni huyu naona dar imemshinda sasa hehehhhe
Hawa jamaa wameshindwa kukiri na wanaoina aibu. Yaani tumewauliza mpaka tumechoka walete vitu ambavyo vipo Nairobi Dar es salaam havipo. Wanakimbia na kutoa misifa ya ajabu ajabu tu. Sisi tumewanonesha mambo kibao. Hawa jamaa waoga na waongo sana.Anap
Anatuletea pic za Zanzibar tena za miaka iliopita hahahhaha hebu muangalieni huyu naona dar imemshinda sasa hehehhhe
Sisi tunapiga Nairobi wao wanahangaika Mara Zanzibar mara Mwanza hahahhaa watuoneshe nn kipo Nai utakikosa dar alaf tuwaoneshe mambo yaliyo dar kwao itabaki historyHawa jamaa wameshindwa kukiri na wanaoina aibu. Yaani tumewauliza mpaka tumechoka walete vitu ambavyo vipo Nairobi Dar es salaam havipo. Wanakimbia na kutoa misifa ya ajabu ajabu tu. Sisi tumewanonesha mambo kibao. Hawa jamaa waoga na waongo sana.