Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

alafu hizon pic ulizoweka ww ni baada ya floods hehehe huku hakuna slum za kushindana na nairobi, kibera dunia nzima inaijua kwa maajabu yake

Wild excuses as always. I told you need to get out of your ujamaa village angalau ufike hata hiyo Dar is slum yenu
 
Hata siku moja baba kichwa chako naona kinachemka dar is 1590km sq hehehe msikilizeni huyu Nairobi 696 km sq tumia akili ulioyotoka nayo tumboni
We mwehu nini?? Sijakuuliza pupa ya nini hapa, inaonekana we ni mtu hujielewi, una mimba au vipi?? Maana unavyofanya mambo si kawaida kwa mwanamme mwenye akili razini. Imewekwa picha pale, inaonesha Dar Nzima, macho yako ni mchoro???
 

Tushaona, hauna lingine??? Vipi Dar picha ziliisha?? Ikisha maliza utapata Nairobi mbele yako tu bado unasoma namba
Nairobi ndio twaanza
Nairobi Upperhill, now the African City
 
Duh! hiyo ndiyo Nairobi. Nchi yenye uchumi wa kati.
uchumi wa kati unafkiri mchezo tu, hakuna nchi ya uchumi wa kati watu wanaishi kama nguruwe na hakuna uchumi wa kati wanatangaza baa la njaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…