Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hauna lolote, hiyo nilikwambia sio geni unachoka tu na kumaliza bundles zako chache hizo! Unadhani unashtua nani sasa, mwehu tu, Ukiishiwa najua ni hapo tu utarejea! Danganyika
siishiwi kwasababu kwetu bundle rahisi sana we have alomst 10 telecommunication companies nyie munzo tatu hehehehe
 
Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza duniani kufanikiwa katika utoaji wa huduma za kifedha kwa kutumia mitandao ya simu. hehe mobile money
 
Kawaida yenu kucheka kwa dharau lakin ukweli ndio utake usitake leo nimeona habari mkenya anakwambia willy smith yuko Serengeti Kenya haha hata kipofu anajua Serengeti iko Tanzania munashangaza dunia...mumejaa ujinga tu
Nawe usiwe kama Mkenya yaani hujui tofauti ya m Vs mu? hebu rekebisha kabla sijamuita faizafoxy
 

Game Over, ulikuwa wapi bana, mara nyingi wewe hapa ndie twaweza fanya mjadala.

Magari si yangu, na mimi ntakuuliza, majumba hayo yako??? Tumia akili nawe! Hapa tunatumia vitu vilivyopo kulinganisha sio uje hapa kuniuliza kama gari langu!!! Utakua hujielewi
 
siishiwi kwasababu kwetu bundle rahisi sana we have alomst 10 telecommunication companies nyie munzo tatu hehehehe

Lakini hivi,wewe hauna ufahamu wa jambo lolote??? Kenya was the first to land a sea cable in east and central Africa, Tanzania Tapped on our end, by now kenya is building the fifth and largest internet sea cable, internet connections and speeds in Kenya are nearly twice those of South Africa, Tanzania hata hamwezi kuja karibu. As we speak inb my office am using 30mbs. As you can see here, i am streaming two TV stations at a go as I watch state of the Nation Adress from the Kenya Parliament. Tanzania nyinyi bado kwa kila kitu ukicompare na Kenya

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…