Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hahahaha simba hachezewi sharubu hehehehe
By the Way Ichoboy01, nyinyi mnafanyia Nairobi mchezo, ila, on a serious note, mfanye bidii huko kwenu, maana ushindani hapa tutashindana, bali ukweli utabaki, juzi ndio mnatengeneza fly over ya kwanza, Nairobi tayari imepita ina deal na elevated roads, kabla mfike hapo aisee, mtasoma namba, kama hii ikiisha

C5WQnWqWQAEQN4M.jpg


C5WQnWnXAAAJO0o.jpg


C5WQnWoXAAEHFX-.jpg
 

Tanzania yaongoza Afrika Mashariki kudhibiti ugojwa wa malaria


Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete amekutana na kuzungumza na waandishi wa Habari kutoka Taasisi ya “Malaria No More” ya nchini Marekani jana jijjini Dar es salaam, waandishi hao wapo nchini kwa ziara ya siku tano kujionea namna Tanzania inavyopambana na ugonjwa wa malaria.

Rais-Mstaafu-Jakaya-Mrisho-Kikwete.jpg


Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne wa
 
By the Way Ichoboy01, nyinyi mnafanyia Nairobi mchezo, ila, on a serious note, mfanye bidii huko kwenu, maana ushindani hapa tutashindana, bali ukweli utabaki, juzi ndio mnatengeneza fly over ya kwanza, Nairobi tayari imepita ina deal na elevated roads, kabla mfike hapo aisee, mtasoma namba, kama hii ikiisha

C5WQnWqWQAEQN4M.jpg


C5WQnWnXAAAJO0o.jpg


C5WQnWoXAAEHFX-.jpg
hahahah enhh huyu jamaa vp kashageuka tena hehhehehe bila barabara tena atapost nini hahahahahahha
 
Michuzi
1-53.jpg


TANZANIA YAONGOZA KWA KASI NDOGO YA ONGEZEKO LA MFUMUKO WA BEI KATIKA AFRIKA MASHARIKI.


Na: Frank Shija – MAELEZO.
Kasi ya mfumuko wa bei za bidhaa na huduma nchini Tanzania umeongezeka kwa kiasi kidogo ukilinganisha na nchi za Afrika Mashariki.
Hayo yamebainishwa na Kaimu Meneja wa Ajira na Takwimu za Bei kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), Ruth Minja alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mfumuko wa bei za bidhaa na huduma kwa mwezi Februari mwaka 2017.
Ruth amesema kuwa mfumuko huo umeongeka kutoka asilimia 5.2 mwezi Januari hadi kufikia 5.5 mwezi Februari,...
 
Sasa hayo ni majadiliano hapa Tanzania tayari tupo na 4.5G na inafanya kazi. Sasa wewe unasemaje kitu ambacho hakipo!?
sera hawana hawa kunguni tu wamebakia kubadilisha topics ,mfamaji haishi kutapatapa
 
Daaah! Balaa, sijui wewe unadhani mji huundwa kwa nini???

Whatever, .... right now in Nairobi
C69Xto7WgAEPucE.jpg
ona sasa kazidiwa huku kahama huku heheheh tunasubiri vita ya uchaguzi mupigane kwanza alaf sisi tuendelee kujenga nchi na safari hii wajaluo wameungana hehehe mutatandikana vzr
 
wamediscuss sisi tushamaliza 4.5G last year hebu imagine kwa akili yako finyu

Sasa 4G+ ndio tumeishi hapo sasa twatoka, wewe unaona ni jambo geni, hivi ndio maana huwa nasema TZ mko uzingizini, mkiota tu hivi mnakurupuka
 
Sasa 4G+ ndio tumeishi hapo sasa twatoka, wewe unaona ni jambo geni, hivi ndio maana huwa nasema TZ mko uzingizini, mkiota tu hivi mnakurupuka
Lini mmetumia 4.5G? Acha uongo wewe nipe hiyo reference ya kwamba kenya wametumia 4.5G
 
Back
Top Bottom