Haha wamemdaka kudadadeki Mwanza iko Nairobi Siku hizi hehe hata aibu haoni akiambiwa Nairobi ndogo sana kwa dar hataki 1590km sq vs 696 kmsq heheheUsitake nikuaibishe bure
Unachukua picha za mwanza unadai Nairobi mpuuzi kabisa
Tumia Akili
Hio jengo liko moshiKweli huna macho, yaani design zikikaribiana
Yenu hii hapa
Kibera Nairobi hio aise duhhhhh muitazame vzr hio video woteChukua dk 6 Kuangalia video hii
Kiukweli hapa E A hakuna sehumu Laana kama hapa!!
HII NI JEHANAM!!
HUWEZI FURAHIA NCHI YAKO KAMA KUNA BINADAMU ANAISHI HIVI!!!
Jamaa wana mateso utazani sio nchi yao!!Kibera Nairobi hio aise duhhhhh muitazame vzr hio video wote