Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We akili yako inaona za zamani au? Dar imejengwa for 10yrs he ingekua 20 yrs hehehhe
Na wewe akili yako inaona kama hizo picha za Nairobi ni za zamani? Kwa hivy Dar in the past 10-20 yrs ilikuwa ni msitu tu?
 
Same buildings hehhhhehhe nataka kuona building ambayo mm sijaiona hapa hhehehehe Yale yale
 
Mm niliwaambieni ukitaka kwenda sambamba na dar leta Nai jumlisha mombasa na kisumu alafu muje tuongee sasa hapa niliwaambia mutuoneshe kitu kipo Nai alaf dar hakuna nikione naona munatuonesha same buildings zishaoneshwa mpaka mwenzenu akaleta nssf ya Mwanza akasema Nai hahhaahaha
 
Nyie kwenu munajua kulewa chang'aahehehhhe unatuletea link za sokoni hapa hhhhehh hii ni tanzania of 2017 my friend hheheh
 
Tunapost barabara kwasababu twajua nyinyi hamna, ilhali hizi ndizo miundombinu muhimu kwenye miji!

Ndio maana nikasema nairobi ni Barbara lakini dar kuna vitu vipo kwenu ni history hakuna mkenya asiepost barabaraa hahahahha
 
Na wewe akili yako inaona kama hizo picha za Nairobi ni za zamani? Kwa hivy Dar in the past 10-20 yrs ilikuwa ni msitu tu?
Hakukuwa na majengo ya kisasa as now hehehhe mbona unaogopa hvo waulize waliokuja before 10yrs watakueleza vzr hhhhaha huamini au hutaki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…