hivi huwa waelewa hizi articles zinazungumzia nni au unakurupuka tu?Hata usisumbuke jibu sahihi hilo hapo from world bank, 2017
https://www.google.com/url?sa=t&sou...ggZMAA&usg=AFQjCNFmz2Lba1t5it_kJHvHtW8fOpyE0Q
kasome link unakimbia wapi hehehehehhe unafanya mchezo nn hehhehare you serious???dar ipige nai kwenye estates?heri ungesema hayo maskyscrapers kidogo cz apo dar imejitahidi....estates ata usitaje
kwa akili yako timamu kama uko nayo.....hizo constituenicies zimemaliza nairobi yote?Jibu sahihi ndio hilo unafanya mchezo na 6 million hahhhahahah
Nairobi
Capital city of Kenya
Nairobi
City
Clockwise from top: Central business district, Nairobi National Park, Parliament of Kenya, Nairobi City Hall and the Kenyatta International Conference Centre.
Flag
Coat of arms
Nickname(s): "Green City in the Sun", "Nai", "Nairobbery" , "Silicon Savannah"
Nairobi
Location of Nairobi
Coordinates: 1°17′S 36°49′E
CountryKenya
County Nairobi County
Founded 1899
Constituencies
List
Government
- Dagoretti North
- Dagoretti South
- Westlands
- Langata
- Kibra
- Roysambu
- Kasarani
- Ruaraka
- Embakasi South
- Embakasi North
- Embakasi Central
- Embakasi East
- Embakasi West
- Makadara
- Kamukunji
- Starehe
- Mathare
• Body Nairobi City County
• Legislature County Assembly
• Governor Evans Kidero
• Deputy Governor Jonathan Mueke
Area
• City 696 km2 (269 sq mi)
Elevation 1,661 m (5,450 ft)
Population (2009)[1]
• City 3,138,369
• Density 4,850/km2 (12,600/sq mi)
Hahahahha soma unapita wima tu ahahhahahhahahivi huwa waelewa hizi articles zinazungumzia nni au unakurupuka tu?
We manzi bado sana mjipange tena muondoe corruption na unemployment alaf mujeA fool will remain a fool.
hahaa....we ni limbukeni kweli.haya malizeni iyo yenu nasisi yetu uishe tuje tupatane apaSisi tunajenga kitu advance kwa wakati, fly over zetu ni modern na hata terminal 3 international airport inafunguliwa dec dis year itakua modern airport in east and central afriaca
My friend utake usitake nairobi ni ndogo sana tena sana kwa dar yani bado sana hio ndio realitykwa akili yako timamu kama uko nayo.....hizo constituenicies zimemaliza nairobi yote?
jibu swali usiforce ili ujiridhishe...siunasema unaijua nairobi.kwanza umefanya vizuri kuleta iyo ya constituenies.My friend utake usitake nairobi ni ndogo sana tena sana kwa dar yani bado sana hio ndio reality
Hahahhaha wachana na tanzania ya 2017 my friend huku kila sector ni pamoto ukija kwenye kilimo kuna kiwanda cha kutengeneza tractor kinakamilika soon this year, ukija projects za barabara pamoto sana, ukija kwenye projects za majengo ndio kabisa hakufai, mambo ya aviation tunakua na tumeshanunua 7 aircraft sio Ku lease kama Kenya airways sisi tunanunua cash ikiwemo na 787 dream liner, ukija kwenye medical hehehhe nyie acheni tuhahaa....we ni limbukeni kweli.haya malizeni iyo yenu nasisi yetu uishe tuje tupatane apa
Nikujibu swali au Google ishakujibu inayokujua vzr hehehhee au na we pia unataka kusema Google inasema uongo hehehhehhejibu swali usiforce ili ujiridhishe...siunasema unaijua nairobi.kwanza umefanya vizuri kuleta iyo ya constituenies.
Hhahhahah muoneni huyu anaongea nnGrow up dude.
Jichekeshe tu lakin habari munayo na kazi ipo mukae mkao wa kula kisawasawahahaa....we ni limbukeni kweli.haya malizeni iyo yenu nasisi yetu uishe tuje tupatane apa
wawaaa.....we ni poyoyo kupindukia.i wonder watu wanakuengage vipi kwa conversation.wataka kuleta ushabiki wa mpaka ndege na barabaraHahahhaha wachana na tanzania ya 2017 my friend huku kila sector ni pamoto ukija kwenye kilimo kuna kiwanda cha kutengeneza tractor kinakamilika soon this year, ukija projects za barabara pamoto sana, ukija kwenye projects za majengo ndio kabisa hakufai, mambo ya aviation tunakua na tumeshanunua 7 aircraft sio Ku lease kama Kenya airways sisi tunanunua cash ikiwemo na 787 dream liner, ukija kwenye medical hehehhe nyie acheni tu
bure kabisa.....nmejua huna lolote ata iyo nairobi hujafika weweNikujibu swali au Google ishakujibu inayokujua vzr hehehhee au na we pia unataka kusema Google inasema uongo hehehhehhe
Wewe naona kiswahili bado kinashida kwako hehheh usijikanyage tulia baba soma uelewe kwanza usibutuke tu ovyo ovyo tuliaawawaaa.....we ni poyoyo kupindukia.i wonder watu wanakuengage vipi kwa conversation.wataka kuleta ushabiki wa mpaka ndege na barabara
Siwez bishana na we hukunileta we nakwambia naijua Kenya in out huna kitu unaeza nifundisha kuhusu Kenya wewebure kabisa.....nmejua huna lolote ata iyo nairobi hujafika wewe